"Hata hivyo, katika kwa upande mwingine, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova alisema bunduki hiyo haina umiliki halali wa Gwajima wala wa wachungaji 15 waliokamatwa lakini baadaye jioni baada ya maelezo ya Gwajima, alitoa taarifa akisema bastola hiyo ni mali halali ya askofu huyo. Pia alisema kuhusu risasi 17 za bunduki aina ya Shortgun, Gwajima anamiliki bunduki ya aina hiyo lakini akasema uchunguzi kuhusu watu hao 15 unaendelea" Mwananchi 31 March 2015
Nilitarajia Polisi kabla ya kutoa taarifa kwa umma kwa jambo lolote wanakuwa wamefanya uchungiuzi wa kina. Kinyume chake ni kuwa Kova anakimbilia kupata publicity na taarifa zisizo sahihi. Anaaibisha nchi na jeshi la polisi!