Gwajima vs Kova Chanzo ni Dr. Ulimboka

Gwajima vs Kova Chanzo ni Dr. Ulimboka

Gwajima alimuumbua Kova Kwenye issue ya Ulimboka baada ya Kova kujaribu kuufanganya ulimwengu Kuwa aliyemtesa Dr. Ulimboka kajisalimisha kanisani kwa Gwajima.
Gwajima alikanusha story feki ya Kova, Kova UKAWA mdogo Kama mtoto wa sisimizi.
kumbe Kova alivyoaibika akawa anapanga mbinu ya kumuumbua Gwajima, sasa Gwajima kaingia Kwenye kumi na nane za Kova.

Alaaaah! Kumbe ndiyo hivyo:what:
 
Ni kweli kuhusu kisa cha Dr Ulimboka kwamba Gwajima alimkana yule jamaa.
Lakini si kweli kuwa hicho kisa ndio kilimpeka Gwajima polisi.
Hata hivyo hatujui chanzo cha kuanguka na kulazwa askofu Gwajima! Hatujui ni maswali tuu au kuna kingine zaidi kilichomuumiza askofu wetu!
Labda ni kweli huyo Kamanda alikuwa ana hasira na hivyo alimtreat harshly and my be coercifully ili kupata alichokitaka!
 
Mods anzisheni kanuni ya kupiga ban watu wazushi kama huyu anatoka kula ugali wake wa muhogo na nguru halafu anatunga uongo katika ubongo wake na kuumwaga humu JF! ovyo kabisa!

Mkuu Huyu si msukule ule uliondoka kutoka juu ya paa la ufufuo na uzima?
 
Nasikia tetesi gwajima amefariki je kuna ukweli?

Nini hii wajameni.... kwa nini tulete hali ya taharuki kwa waamini wa huyo Askofu ? Kifo ni wajibu na wala siyo adhabu.Ikifika muda hakuna cha mswalie mtume,hiyo sote tunajuwa lakini hatutaki kuamini.
 
Haya na umbea wako hebu sema kwanza zile bunduki hospitali mlikuwa mnakwenda kufanyia nini.
 
Halafu yule mtu ambaye Kova alimwita m Kenya alikuwa Hana akili timamu, sijui aliwezaje kumteka Dr. Ulimboka?
Hivi Bujibuji ile movie ya Kova, ya mkenya chizi aliyedai alikwenda kwa Gwajima kutubu kitendo chake cha kumteka Dr Ulimboka iliishaje?
 
Gwajima inasemekana ni team Lowassa na inasemekana ndie alieratibu wale wachungaji kwenda kumuona Lowassa Dodoma wakitokea Arusha.

Hata vita vya urais visipuuzwe, Hasa ukizingatia rizimoko ndio king wa mjomba wa Mtama.
 
Gwajima alimuumbua Kova Kwenye issue ya Ulimboka baada ya Kova kujaribu kuufanganya ulimwengu Kuwa aliyemtesa Dr. Ulimboka kajisalimisha kanisani kwa Gwajima.
Gwajima alikanusha story feki ya Kova, Kova UKAWA mdogo Kama mtoto wa sisimizi.
kumbe Kova alivyoaibika akawa anapanga mbinu ya kumuumbua Gwajima, sasa Gwajima kaingia Kwenye kumi na nane za Kova.

Kuufanganya=kuudanganya?
 
Nini hii wajameni.... kwa nini tulete hali ya taharuki kwa waamini wa huyo Askofu ? Kifo ni wajibu na wala siyo adhabu.Ikifika muda hakuna cha mswalie mtume,hiyo sote tunajuwa lakini hatutaki kuamini.

Chunguza upate ukweli. R.I.P
 
Kova Ana kisasi na Gwajima baada ya Gwajima kumkana zezeta ambaye Kova alikuwa analazimisha Kuwa ndiye mtesaji wa Dr. Ulimboka.
Kova aliumbuka Sana na baada ya hapo alikaa kimya kabisa akingoja wakati muafaka wa kulipiza kisasi. WAKATI NDIO HUU WA KOVA KUJIINUA.
MAJESHI.... MAJESHI...........

Sasa kwa nini hakupanga deal na Gwajima kabla ya . . .

Nilishamwambia Kova aache kukurupuka lkn hasikii
 
Mods anzisheni kanuni ya kupiga ban watu wazushi kama huyu anatoka kula ugali wake wa muhogo na nguru halafu anatunga uongo katika ubongo wake na kuumwaga humu JF! ovyo kabisa!

Dah, Nimecheka mpaka basi! Wakati Shehe Ponda alipochukuliwa hatua wengi walikaa kimya, wanachoshindwa kuelewa ni kuwa mfumo ule ule wa sheria uliomchukulia hatua Shehe Ponda unatumika hata kwa watu wengine wakiwamo na Wachungaji.
 
Hii kesi ya ajabu sana. Aliyekashifiwa / kutukanwa hajalalamika lakini Polisi wameshikilia jambo hili. Mbona kama ni matusi Lusinde alimtukana Dr Slaa yeye na wazazi wake tena jukwaani wala hatujaona lolote? Hatujapenda matusi kwa Pengo na hatujapenda usaliti w Pengo kwa maaskofu wenzie, ila katika ukristo kosa la usaliti ni kubwa sana na inavyoontesha Pengo kesha jirudi kiimani na kutubu na ndio maana naye katoa msamaha kwa Gwajima. Sasa Kova aache visa vyake na akae pembeni. Kama maaskofu wao kila mtu.ujumbe umefika na waumini wameelewa kwa nini ni NO kwa.katiba ya Chenge na mahakama ya kadhi
 
Back
Top Bottom