GE2025 Gwajima: Tundu Lissu ana maneno makali ila Hayati Rais Magufuli alimvumilia 2020 na akashinda uchaguzi

GE2025 Gwajima: Tundu Lissu ana maneno makali ila Hayati Rais Magufuli alimvumilia 2020 na akashinda uchaguzi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Na ndiyo shida ya Samia na CCM wenzake, wanaogopa maneno tu makali ya Tundu Lissu kiasi cha kutumia mamlaka yao vibaya kumtengenezea kesi...

Na in fact, ishu wala sio kuwa "Tundu Lissu huwa ana maneno makali" kwa maana ya ukali tu. Bali huyu Bwana Tundu Lissu huzungumza ukweli usiochujwa, unaopenya hadi kwenye maro za mifupa ya walengwa wa ukweli huo na kuwaletea maumivu makali kiasi cha kutafuta namna ya kujihami Ili kuudhibiti ukweli huo usiwaletee madhara kwa mtazamo wao....

Hiki ndicho kinachoendelea sasa, kesi ya uongo ktk harakati za watawala kujaribu kuukimbia ukweli unaowahusu. Wanashindwa kuelewa kuwa, ukweli huwa unakuwa embraced na si kupigwa teke...

Askofu Josephat Gwajima, anajua fika kuwa Tundu Lissu anashitakiwa kwa uongo na uzushi tu.....abuse of power & criminal procedures..!!

Askofu Gwajima japo amekwepa kusema moja kwa moja, kuwa, mwachieni Tundu Lissu na acheni CHADEMA wafanye shughuli zao za kisiasa bila uonevu. Lakini anajua fika kuwa TL na CHADEMA wanaonewa...!!

Hata hivyo nimefarijika mwishoni kwa kuwa amesema, wenye akili ya kutafsiri haya mambo wataelewa naamanisha nini...!!

Mimi nimekuelewa Bishop Gwajima. Unaamanisha Samia atende haki, aache kuonea watu kwa kutumia madaraka yake vibaya - ABUSE OF POWERS & AUTHORITY...!!
 
Tundu Lissu ana maneno makali ila Hayati Rais Magufuli alimvumilia 2020 na akashinda uchaguzi
Naunga mkono hoja
Hili hata Mkuu Mzee Mwanakijiji amelisema
Na. M. M. Mwanakijiji
Niwe wa kwanza kusema kuwa endapo TAL na CHADEMA hawatoruhusiwa kushikiri uchaguzi huu, Watanzania wajiandae kuona mwisho wa utawala wa CCM Rais Samia akiwa ni Rais wa mwisho wa CCM kuelekea 2030. Ule UNABII utaenda kutimia.

Ni kweli, tena kwelikweli.
 
Tundu Lissu ana maneno makali ila Hayati Rais Magufuli alimvumilia 2020 na akashinda uchaguzi
Mh! Huo ni mtego wa panya. Jiwe alivumilia maneno ya Lisu. Mwingine angeweza labda Kikwete. Lakino kwa wamama, sijui kama wanaweza kuvumilia maneno makali ya Lisu kwamba aeleze kinaga ubaga!
 
Na ndiyo shida ya Samia na CCM wenzake, wanaogopa maneno tu makali ya Tundu Lissu kiasi cha kutumia mamlaka yao vibaya kumtengenezea kesi...

Na in fact, ishu wala sio kuwa "Tundu Lissu huwa ana maneno makali" kwa maana ya ukali tu. Bali huyu Bwana Tundu Lissu huzungumza ukweli usiochujwa, unaopenya hadi kwenye maro za mifupa ya walengwa wa ukweli huo na kuwaletea maumivu makali kiasi cha kutafuta namna ya kujihami Ili kuudhibiti ukweli huo usiwaletee madhara kwa mtazamo wao....

Hiki ndicho kinachoendelea sasa, kesi ya uongo ktk harakati za watawala kujaribu kuukimbia ukweli unaowahusu. Wanashindwa kuelewa kuwa, ukweli huwa unakuwa embraced na si kupigwa teke...

Askofu Josephat Gwajima, anajua fika kuwa Tundu Lissu anashitakiwa kwa uongo na uzushi tu.....abuse of power & criminal procedures..!!

Askofu Gwajima japo amekwepa kusema moja kwa moja, kuwa, mwachieni Tundu Lissu na acheni CHADEMA wafanye shughuli zao za kisiasa bila uonevu. Lakini anajua fika kuwa TL na CHADEMA wanaonewa...!!

Hata hivyo nimefarijika mwishoni kwa kuwa amesema, wenye akili ya kutafsiri haya mambo wataelewa naamanisha nini...!!

Mimi nimekuelewa Bishop Gwajima. Unaamanisha Samia atende haki, aache kuonea watu kwa kutumia madaraka yake vibaya - ABUSE OF POWERS & AUTHORITY...!!
🙏🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom