Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,875
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kawe, Dar es Salaam kwa tiketi ya CCM, Josephat Gwajima amesema aliyekuwa Mbunge wa kawe sio maarufu kwa watu wa Kawe.
Ameyasema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha asubuhi cha mojamoja kwa moja Channel 10. Amesema Mbunge huyo ni maarufu Bungeni na mahakamani lakini hafahamiki kwa watu wa Kawe.
Jimbo la Kawe limekuwa chini ya Mbunge, Halima Mdee kwa tiketi ya CHADEMA kwa miaka kumi. Na katika Uchaguzi Mkuu wa 2020, Mdee anatetea Jimbo lake kwa tiketi ya CHADEMA.
Ameyasema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha asubuhi cha mojamoja kwa moja Channel 10. Amesema Mbunge huyo ni maarufu Bungeni na mahakamani lakini hafahamiki kwa watu wa Kawe.
Jimbo la Kawe limekuwa chini ya Mbunge, Halima Mdee kwa tiketi ya CHADEMA kwa miaka kumi. Na katika Uchaguzi Mkuu wa 2020, Mdee anatetea Jimbo lake kwa tiketi ya CHADEMA.