Tetesi: Gwajima kuibukia Bungeni siku ya kuvunja bunge

Tetesi: Gwajima kuibukia Bungeni siku ya kuvunja bunge

SSH2025_2030

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
9,661
Reaction score
9,753
Askofu Mkuu Baba wa Imani Dr Gwajima PhD - Mwangalizi wa Makanisa ya Ufufuo na Uzima duniani. Anatajwa kuhudhuria Bungeni ambapo litavunjwa rasmi tayari kwa uchaguzi.

***Tumtakie matashi MEMA Baba Askofu Mkuu na Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Kawe (CCM). Ulikua wakati mwema kuwa Mbunge wetu
 
Natumaini ana Malengo, na Mipango, kama harakati zake zitaishia hapa atakuwa mtu wa hovyo kuliko u hovyo wenyewe!

Mpaka sasa Sijaona impact positive yeyote ya aliyofanya zaidi ya masifa tu, ila natumaini kutakuwa na mengine kutoka kwake!
 
Back
Top Bottom