The Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 10,959
- 13,428
Pamoja na makeke na mbwembwe zake, Gwajima anaonekana kutoweka kwenye ramani ya dini na siasa za Tanzania. Yuko wapi mbona hafurukuti tena kama mwanzo?
Je kamezwa na Polepole au polepole anatoweka kwenye ramani ya Tanzania baada ya kujichanganya akidhani angeweza kuitapeli CCM asijue itamtapeli au watatapeliana kwenye mchezo huu wa kuuziana dhahabu feki kwa kulipana fedha feki?
Je kamezwa na Polepole au polepole anatoweka kwenye ramani ya Tanzania baada ya kujichanganya akidhani angeweza kuitapeli CCM asijue itamtapeli au watatapeliana kwenye mchezo huu wa kuuziana dhahabu feki kwa kulipana fedha feki?