GWAJIMA ATEKETEA

GWAJIMA ATEKETEA

BLUE BALAA

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2010
Posts
1,222
Reaction score
786
GWAJIMA UTALAANIWA KWA AIBU ULIYOITIA FAMILIA YAKO NA KANISA KWA UJUMLA. HUNA MAADILI YA KITANZANIA KABISA LAKINI ZOTE HIZO NI LAANA MUNGU AMEKUPA. NA BADO UTATEKETEA SANA KWA MAOVU YAKO
 
Wafuasi wake na wa chadema wanasema huyu ndiye mtu mwenye intelijensia ya kutisha hapa tz, kwamba alikuwa ktk mkakati wa kuanika mambp fulani watu wakamuwahi, kweli mahaba niue!
 
Huyu ni wakala wa shetwani angeomba radhi maisha yasonge aendelee na usaniii wake wa kufufua watu.
 
Aliyesema wafuasi wa dini ni kondoo hakukosea, manake kondoo ana kichwa kigumu, ukimuwekea uzio wa kamba hatoki mpaka utakapomtoa wewe.. Hawa kondoo bado wanajiaminisha video ni fake
 
GWAJIMA UTALAANIWA KWA AIBU ULIYOITIA FAMILIA YAKO NA KANISA KWA UJUMLA. HUNA MAADILI YA KITANZANIA KABISA LAKINI ZOTE HIZO NI LAANA MUNGU AMEKUPA. NA BADO UTATEKETEA SANA KWA MAOVU YAKO
"Asiye na dhambi awe wa kwanza kumtupia jiwe"
 
unajua hata mimi pale kwenye mkono nimestaajabu, kweli Gwajima anaweza kua na mkono wenye misuli kiasi kildm ?!
Video ni ya gajwima ila mkono ni wa baunsa. Case closed
 
Ile video ni ya Gwajima na asipopambana atakua mateka wa maadui zake. Imeachiwa ili watu wamsahau Mdude.
Nia ni kuitumia karibu na uchaguzi.
Sio yake au wewe ndiye yule demu aliye kuwa analiwa
 
unajua hata mimi pale kwenye mkono nimestaajabu, kweli Gwajima anaweza kua na mkono wenye misuli kiasi kildm ?!
Hata lile umbo mi nakataa sio lake. Kwanza Gwaji mfupi na ni kembamba. Yule jamaa anaonekana ni mwili wa kijana kabisa na amejazia. Ukiangalia vizuri jamaa ana six packs! Mi simtetei Gwajima ila nakataa kudanganywa kama mtoto. YULE SIO GWAJIMA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom