GE2025 Gwajima anaongea Kiswahili cha wapi?

GE2025 Gwajima anaongea Kiswahili cha wapi?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Huyo nguchiro hapo hajasema,tunataka aseme wapi alipata ujasiri wa kutapeli watu kwa kujiita mfufuaji wa wafu...

Mwizi mkubwa huyo na safari hii ataolewa mjini hapo.
 
Anaongea kama mumbeya wa uswahilini
Ongea yake haina hata mantiki
Kwa hiyo haitakiwi mbunge kukatwa jina? Aendelee kuwa mbunge milele? Eti oooh kwa Mrisho Gambo watatupa kura? Nk

Gwajima kapatwa na nini ? Kaehuka.Akili zote zimehama
 
Anavyoongea kiswahili chake utadhani si msomi?
Neno kura yeye hutamka kula. Angalia spech yake ya jana.

View: https://youtu.be/ApwVq9JJww4?si=bE11Rfya8oU5QgJx

Weka na wewe clip yako hapa ya video tuone ukiongea. Isije ikawa unataka watu wamjadili mtu ambaye ameongea na kueleweka na walio wengi, huku wewe mwenyewe ukiwa ukiwa na mwonekano wa jinsia ya kiume! ila una macho ya kurembua kama umelishwa kungu, na pia una sauti na mapozi kama ya Kizimkazi. "Na hilo nalo mkalitizame"
 
Akili ndogo huhangaika na vitu vidogo kama matamshi ya maneno
 
Na wewe neno "speech" unaliandika ''spech''. Kiingereza cha wapi hiki unaandika?
 
Ujuaji mwingi.... wewe leta maada za uislamu tu uku jukwaani, uku kwenye siasa haufit mazee
 
Akili mfilisi hi deal na personal issues badala ya hoja. Utapeli wake, wizi,uzinzi, sijui Kiswahili chacje vyote havituhusu humu. Wewe jadiri hoja zake basi!
 
Back
Top Bottom