Hata kama angeizindua ingepita wapi jaribu kufikiria
subiri Baada ya miaka kadhaa reli zikikamilika ndio uulizie
Nakushauri fanya yalio na faida acha propoganda
Anajiamini na kila anachokiongea si kama ni uongo ni mambo ambao tayar ameshayafanya
kwanza wewe ni nan hata uone anasema uongo kwendraaa katundike limoyo lako huko ukutani lijisemeshe huko