sikiolakufa
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 411
- 54
NImeona picha michuzi blog...ile ndege anatumia rais kwenda botswana ndiyo ile iliyopigiwa kelele sana kuwa ni ya dharama kubwa sana? Mbona sioni mvuto wake...ina nini cha ajabu? viti vya dhahabu au nini? Nadhani anastahili kuendelea kuitumia