👏👏👏Mimi nimeacha alkasus kwa sababu hiyo. Alkasus nyingi wanachanganya sanaNilikunywa nikajisikia vibaya sana. Hali kama hiyo ilinipata nilipokunywa alkasus, kahawa na majani ya fulani ya chai yapo kwenye kopo.
Kwa sasa najipigia tu safari kubwa.
Ile original ni aloe vera iliochangamshwaUshaonja ile Original yake? Hiyo smooth utaiona uchafu tu
Huwezi kuyajua haya makitu hujawahi kunywa chochote zaidi ya maji na mate...Siijui..sijawahi kunywa chochote zaidi ya maji..juice or soda