Hakuna hata kapicha kake Mkuu?Ndugu yangu amekwama anapangisha g/house kwa 1.2 milion kwa mwezi anataka kodi ya miaka miwili atatue matatizo ila gest ipo uswahilini
Aliye serious awasiliane nae 0767448306
Haujaongeza chapaa hapo mkuu? Nadhani hii laki mbili iliyozidi hapo kwenye 1.2M itakuwa unaitia mfuko wa shati[emoji5] [emoji5]
Duh,Ndugu yangu amekwama anapangisha g/house kwa 1.2 milion kwa mwezi anataka kodi ya miaka miwili atatue matatizo ila gest ipo uswahilini
Aliye serious awasiliane nae 0767448306
Yap yap, all the best jombaaHahah hapana mkuu mwanzoni alikuwa anapangisha 1.5 million lakini nikamwambia apunguze mkuu. Ila guest ina operate vizuri na ya muda mrefu tokea 1989 ila amepata tatizo na inatakiwa kuwa solved 25th mwezi huu.
Na hiyo bei unapata free kwa mwaka kama leseni,kodi zote zitakuwa zimelipiwa na ukitaka kubadilisha umiliki kwenye leseni ni wewe tu mteja na ukilipa leo unaanza biashara moja kwa moja na unaweza kuangalia mapato yanavyo trend ila to be honest geust zile za wenyeji kuliko wageni nafikili umenielewa mkuu
Tshs 1,2000,000/30daysHaipo katavi ipo dar es salaam mkuu maeneo ya tmk
28.8mil.......??? duh
Tshs 1,2000,000/30days
= Tshs 40,000/day
yap ni hesabu ndogo ila angepunguza idadi ya miezi. angalau kwa mwaka mmoja.Tshs 1,2000,000/30days
= Tshs 40,000/day
yap ni hesabu ndogo ila angepunguza idadi ya miezi. angalau kwa mwaka mmoja.
najua biashara inalipa sana hiyo