baba baada ya kumtuma mawanae sabuni,mwanae akarudi na pesa,bila sabuni:
baba:"mwanangu jifunze kutumia akili yako vizuri,leo nimekutuma sabuni aina ya mbuni,umekosa ungenunua sabuni aina nyingine kama mbadala,mfano kanga au nyingineyo"
Baada ya siku mbili baba akamtuma mwanae huyo kununua maputo(mapulizo)ya kupamba shereheni,mtoto akakosa maputo,akarudi na kumkuta baba yake akiwa na wageni,
Guess alimpa nini?
baba:"mwanangu jifunze kutumia akili yako vizuri,leo nimekutuma sabuni aina ya mbuni,umekosa ungenunua sabuni aina nyingine kama mbadala,mfano kanga au nyingineyo"
Baada ya siku mbili baba akamtuma mwanae huyo kununua maputo(mapulizo)ya kupamba shereheni,mtoto akakosa maputo,akarudi na kumkuta baba yake akiwa na wageni,
Guess alimpa nini?