Kinachowaumiza watu hapa ni chuki na wivu. Guardian UK hawaandiki bila research. Ni gazeti linalosomwa na kuheshimika kote duniani. Kama mtu anadhani kwamba mwanasiasa tena kutoka Afrika anaweza kujipigia pande au kupigiwa pande akaandikwa kwenye gazeti la kimataifa basi mtu huyo akili yake fupi. The Guardian hawawezi kuchukua risk ya ku-profile mtu wa hovyo. Wameangalia upuuzi Wote unaondikwa hapa kila siku juu ya JM, sijui Barrick sijui nini, wakaona ni majungu tu. Na hayo majungu ndio chanzo kikubwa cha ufukara wetu wa fikra.
Poa tu, kwa sababu hata BAE ni kampuni ya China!:A S confused: