Du kweli inashangaza mimi nilifikiri hata hawo wajeshi wa afghanistan anawarudisha nyumbani.
Mimi wakati mwingine huwa nafikiri hata huyo Osama wanayemsema ame tengenezwa tu hata hayo majengo ni bush mwenyewe ndiye aliyabomowa ili apate sababu za kumnyonga SADDAM ,akianzia kupitia Afghan na kupata sababu ya kuelekea kwa mlengwa wake.
Sasa kwanini basi Afghan iendelee kukaliwa na walowezi?