Rodwell mTZ
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,308
- 1,423
Jamaa katugea info ya maana ila katumia lugha ngumu kidogo,acha kuwa mbishi,kama una info iliyo sahihi zaidi rusha hapa.Point yako hasa ni ipi hapo?
Ametangazwa lini, na wapi?
Ni mchezaji yupi ambao hao GSM walitangaza anauzwa $500K?! Au Haji Manara?
Sio kwa Vita SC tena? Yaani umeshasema Kisinda alikuwa mali ya Vita SC halafu hapa unatuambia pesa imeenda kwa Wakala wake?
A new football business model?
Hivi TV au Radio Station ya GSM inayotangaza hayo mambo inaitwaje nami nianze kuifuatilia?