GSM waambieni watu wenu ukweli kuhusu Kisinda, Djuma Shabani. Simba mmedanganya bei ya Banda

Kakimbia...

Labda kaenda kwa Da' Babra kuulizia vizuri....
nipo boss ......HAKIMBII MTU HAPA TUTAKESHA HADI SUBUHI.....sarpong kakaza huko anataka milioni 78 kuvunja mkataba matahjiri wenu wanamdanganya wampe mshahara wa miezi miwili asepe KAKATAAAAAA.mmetoa bilioni 1.2 kwa as vita mkashindwa kumalizia milioni 40 ya huyo Djuma? LIARA LIAR PANTS ON FIREEEEEEEEE
 
Kumbe ndio maana Yanga na kelele zao hawajamtangaza Djuma mpaka leo, kumbe bado wanadaiwa kama kawaida yao.
NDIYO mnaana nikiandika wanakuja juu embu nitajie mchezaji gani wa simba,azam, utopolo ambaye leo hakuenakana muhimbili? labda wamalizie hiyo 20,000 usd na wambembeleze maana kawarudishia advance yao ya usd 25 k anataka kwenda kwa ibenge moroko
 
"MATAJIRI" waliolipa transfer fee ya usd 500,000 wakashindwa kumalizia usd 20,000 by august ili mchezaji aje bongo na leo hajaonekana muhimbili kupigwa chanjo, only fools wataamini hilo
"MATAJIRI" ambao hawamtaki michael sarpong ila yeye kawakazia kama wanatyaka kuvunja mkataba wampe usd 35,000 wao wanataka wamlipe mshahara wa miezi miwili kakaataa na hadi sasa wanahindwa kumuacha kwenye list yao
"MATAJIRI "amabo kwa kushirikiana na propaganada machien zao kwa msimu mzima walishindwa kusema ukweli kwamba tuisila kisinda alikuwa anacheza kwa mkopo na hawatapata hela yoyote akiuzwa Rs berkane kama vile jinsi walivyokosa hela ya makambo kuuzwa horoya
Umeshindwa kujibu maswali ya Chige umebaki kurudia umbea na udaku acha nimuite tena Chige aje akunyooshe
 
Kumbe ndio maana Yanga na kelele zao hawajamtangaza Djuma mpaka leo, kumbe bado wanadaiwa kama kawaida yao.
NDIYO mnaana nikiandika wanakuja juu embu nitajie mchezaji gani wa simba,zam, utopolo ambaye leo hakuoenakan muhimbili? labda wamalizie hiyo 20,000 usd na wambembeleze maana kawarudshia adavnce yao ya usd 25 k anataka kwenda kwa ibenge moroko
Umeshindwa kujibu maswali ya Chige umebaki kurudia umbea na udaku acha nimuite tena Chige aje akunyooshe
mkuu inaonyesha huwa anakunyooshaga vizuri sana hadi kakukoleza kabisa yaani umeandika kwa hisia unasikilizia utamu wake kabisaaa
 
Ukiacha makasiriko ndo uje hapa tena,but football is about business, players and club they do business

RS Berkane placed a high offer to the player and high offer to the club compared to price tag used to buy TK Master last season

So, when calculation come to your favor, u have to opt for better calculations coz apart from player and club achievements there is financial benefit which is more important than anything in a player carrier
 
NDIYO mnaana nikiandika wanakuja juu embu nitajie mchezaji gani wa simba,zam, utopolo ambaye leo hakuoenakan muhimbili? labda wamalizie hiyo 20,000 usd na wambembeleze maana kawarudshia adavnce yao ya usd 25 k anataka kwenda kwa ibenge moroko

mkuu inaonyesha huwa anakunyooshaga vizuri sana hadi kakukoleza kabisa yaani umeandika kwa hisia unasikilizia utamu wake kabisaaa
Ukinitukana mimi haitokusaidia..
Chige.. Kazinduka huyu lopolopo
 
Jisiemu kupitia kwa hsri ni madalali wale mtaniambia siku moja
 
Back
Top Bottom