njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
- Thread starter
- #21
nipo boss ......HAKIMBII MTU HAPA TUTAKESHA HADI SUBUHI.....sarpong kakaza huko anataka milioni 78 kuvunja mkataba matahjiri wenu wanamdanganya wampe mshahara wa miezi miwili asepe KAKATAAAAAA.mmetoa bilioni 1.2 kwa as vita mkashindwa kumalizia milioni 40 ya huyo Djuma? LIARA LIAR PANTS ON FIREEEEEEEEEKakimbia...
Labda kaenda kwa Da' Babra kuulizia vizuri....