GSM waambieni watu wenu ukweli kuhusu Kisinda, Djuma Shabani. Simba mmedanganya bei ya Banda

Niko naye namtayarishia Kitimoto akale nyumbani kwake na familia yake.

Ndiye yule aliyesema huyo mchezaji akitua Yanga wamuue.
 
Waambieni kwamba kisinda alikuja kwa mkopo toka sa vita hamjamuuza kwenda morroco kauzwa na wakala wake ,hivi hizo biashara zenu na as vita zimejaa uongo uongo tu ,

Dujma shaban ilitakiwa mummpe usd 45,000 dollars kabla ya kumtangaza mkampa 25,000 usd kisha mkamtangaza kakaksirika na kurudisha hela naye pi anaenda Moroco.

Mkatudanganya eti anauzwa usd 500,000 kisa snitch la GSM liitwalo Manara lilipost, hata beki mpya wa Simba anyejiita Varanae kasajiliwa kwaa usd 35,000 huko Congo nako ni njaa tu

HELA ZA KISINDA ZA USAJILI ZIMEENDA KWA WAKALA WAKE.

Nna mnavyosema replacement yake ni mkali kuliko yeye jiulize kwanini Ibenge asimchukue huyo sasa, jinga kabisa

MWISHO NI KWENU TEAM YANGU YA SIMBA NA NYIE ACHENI AUONGO BANDA KASAJILIWA KWA MILIONI 70 SIYO USD 300,000 HIVI MNATUONAJE LAKINI NYIE IULA ATLEAST BANDA ANAPOKEA 11,000,000 A MONTH KISINDA NA MUKOKO WANAKUNJA 6,000,000 UTOPOLONI
🤣🤣
 
Kisinda alikuja kwa mkopo na hela za usajili walichukua as vita.
 
Mbona karudi yanga badala ya vita sasa?🤣

Ila kuna mnajitoa akili sana.
Tulia we mtoto m-little TOPO TOPOLO kwa sasa nipo bize jukwaa la siasa kwa sasa napigania uhuru wa nchi kuhusu TOZO ambazo sirikali iliombwa na wananchi a.k.a utopolo fc zitozwe, vinyesi wahedi
 
Una udumavu wa akili, kuna mkopo wa miaka 2?
we taahira alienda utopoloni kwa mkopo hela za kuuzwa berkane walichukua as vita kipi huelewei hapo? no wonder sope albino alisema huko kinyesini wenye akili ni wawili tu leo waziri feki anasimama na kusema"wananchi" walipendekeza tozo, mmekosa kazi za kufanya huko kaunda hadi mkaenda kupendekeza tozo?
Tukutane jukwaa la siasa nina kazi za maana za kufanya kule siyo kujibishana na vichaa huku
 
we taahira alienda utopoloni kwa mkopo hela za kuuzwa berkane walichukua as vita kipi huelewei hapo? no wonder sope albino alisema huko kinyesini wenye akili ni wawili tu leo waziri feki anasimama na kusema"wananchi" walipendekeza tozo, mmekosa kazi za kufanya huko kaunda hadi mkaenda kupendekeza tozo?
Tukutane jukwaa la siasa nina kazi za maana za kufanya kule siyo kujibishana na vichaa huku
Wewe mataqo unajua sheria ya mkopo inasemaje?
 
Back
Top Bottom