LiFe 2-point-0
JF-Expert Member
- Mar 22, 2024
- 4,253
- 11,627
Pamoja mkuuNimekubali ufafanuzi wako mkuu
Kudos!
Pamoja mkuuNimekubali ufafanuzi wako mkuu
Kudos!
Nakubali ndio ila uwe na uhakika na spirits unazoji attach nazo.Kila kitu ni spirit hata wewe ni spirit
Chant havuti utajiri umekaa.Mwambie chati za kuvuta uwe tajiri namba moja duniani 😅
Basi hakuna cha kuvuta wala nini ni kuchapa kazi tu.Chant havuti utajiri umekaa
kabisaNakubali ndio ila uwe na uhakika na spirits unazoji attach nazo.
Kila anaechapa kazi angetoboaBasi hakuna cha kuvuta wala nini ni kuchapa kazi tu.
OkKila anaechapa kazi angetoboa
Mimi ni mkristo lakini kuna Kama mara mbili katika maisha yangu nimeshuhudia waislam walipiga dua fulani mara 1000 wakifanya hii chant.Hizi ni sauti za kiasili za middle east. Hata hizi waislamu wanazitumia kukariri na kuimba Quran ndio hizo hizo kuanzia adhani pamoja na sauti mbalimbali wanazoimba aya za Quran melody zake ni mutatis mutandis na Gregorian chant. Lakini utasikia mtu anakitutumua na midevu imeninginia kwamba wao Huwa awaimbi na kuimba ni haramu lakini vyote wanavyovifanya kuanzia adhana hadi kuimba aya za Quran walizokariri NJ kupitia kuimba kama ilivyo Gregorian chant. ELIMU ya mwarabu oyeeeee!!!
Kuna waislamu huwa nawaambia hivyo namna wanasoma kuluwani Kwa kughani wamewaiga wakristu wakatoliki huwa wanabisha Hadi keshoHizi ni sauti za kiasili za middle east. Hata hizi waislamu wanazitumia kukariri na kuimba Quran ndio hizo hizo kuanzia adhani pamoja na sauti mbalimbali wanazoimba aya za Quran melody zake ni mutatis mutandis na Gregorian chant. Lakini utasikia mtu anakitutumua na midevu imeninginia kwamba wao Huwa awaimbi na kuimba ni haramu lakini vyote wanavyovifanya kuanzia adhana hadi kuimba aya za Quran walizokariri NJ kupitia kuimba kama ilivyo Gregorian chant. ELIMU ya mwarabu oyeeeee!!!
Kuokoka ni dhana ya wapentekoste Wala sio dai la lazima Kwa kila mkristu Kwa kufikiria Kwa muktadha wa kidunia ila ni matokeo baada ya kazi nzuri hapa duniani, kumbuka manenoNinyi mnatafuta kupagawa na mapepo, Roho chafu,
Kupata kipawa Cha Roho mtakatifu kunena kwa lugha mpya, sharti kwanza uokoke, Kisha uombe karama hiyo.
Sasa chants bila Roho mtakatifu mnatafuta shida!