Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,406
Habari zenu ndugu na jamaa.
Nimekuwa mdau mmojawapo wa kuwa na ndoto za kuishi kufika Amerika na njia pekee niliona ni kujaribu kuomba green card lottery (www.dvlottery.state.gov) lakini pamoja na kujaribu zaidi ya mara 5 nikakosa(sijui nina gundu). Sasa mbaya zaidi nimepata fununu kuwa imefutwa na haipo tena? Je kuna ukweli maana kwenye website yao hakuna hilo tangazo
Nimekuwa mdau mmojawapo wa kuwa na ndoto za kuishi kufika Amerika na njia pekee niliona ni kujaribu kuomba green card lottery (www.dvlottery.state.gov) lakini pamoja na kujaribu zaidi ya mara 5 nikakosa(sijui nina gundu). Sasa mbaya zaidi nimepata fununu kuwa imefutwa na haipo tena? Je kuna ukweli maana kwenye website yao hakuna hilo tangazo