Black Coffee
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,929
- 3,171
Leo ndo leo. Geti linafunguliwa rasmi saa 1 usiku kwa saa za Tanzania.
On dot kabisaa mkuu
Leo ndo leo. Geti linafunguliwa rasmi saa 1 usiku kwa saa za Tanzania.
Goodluck!Thanks will try my luck
what about the cost of leavingYaani kwa madaktari na wauguzi ndio penyewe. Hao hata green card hawahitaji.
Mshahara mnono Sana kiasi kwamba kwa miezi sita mtu anagonga M100.
Connection zipo lakini watanzania hawasaidiki.
Angalia hapo huo ni malipo ya midwife kwa saa. Na hilo bango ni la juzi. View attachment 1927828
That differ from state to state.what about the cost of leaving
Kesho naanza hyo kazi Leo nimechoka sanaGoodluck!
Nilikuwa naifahamu, ambae nilimuuliza nilimshangaa aliposema inamwambia "the info is invalid" wakati 2023 DVL ilikuwa haijafunguliwaDiversity Visa Program - Submit an Entry
travel.state.gov
Aisee tupia link na mimi nijaribu bahati mtoto wa mkulima from madongo kuinama mpaka kwa Joe biden
Mkuu hebu fanya msaada wa hiyo link tujaribu kuapply
kwa sisi wakazi wa Kigoma tutaenda jengo gani mkuu? Tueleweshe maana sio wote tunaishi DarLink ni https://dvprogram.state.gov/. Lakini kama nilivyomwambia mwana mmoja, picha ni jambo dogo sana lakini kwa DVL wana vigezo vyao. Unaweza kuwa na picha inayoonekana ipo bomba ile mbaya kumbe doesn't meet required dimensions. So, kama huna uhakika na passport size uliyonayo, ni bora ukapige kwenye professional photo studios. Kwa wakazi wa Dar, wanaweza kwenda pale Benjamin Mkapa Building au Haidary Plaza, na ukifika waambie kabisa unahitaji passport size FOR GREEN CARD. Hawa huwa wanafahamu masharti ya hizo photos. Make sure inakuwa na white background in case anajisahau!!
Ukienda marekan unapewa na kitengo au ndio unafika Airport kushangaa tu? Jazia nyama Basi point yako mkuuSikuwa naamini Kuhusu Green card ila sasa nimeamini kweli kuna jamaa yangu mwalimu kapata yupo nyarugusu uko anaondoka Na familia yake Mungu kweli humpa anayemtaka
Link ni https://dvprogram.state.gov/. Lakini kama nilivyomwambia mwana mmoja, picha ni jambo dogo sana lakini kwa DVL wana vigezo vyao. Unaweza kuwa na picha inayoonekana ipo bomba ile mbaya kumbe doesn't meet required dimensions. So, kama huna uhakika na passport size uliyonayo, ni bora ukapige kwenye professional photo studios. Kwa wakazi wa Dar, wanaweza kwenda pale Benjamin Mkapa Building au Haidary Plaza, na ukifika waambie kabisa unahitaji passport size FOR GREEN CARD. Hawa huwa wanafahamu masharti ya hizo photos. Make sure inakuwa na white background in case anajisahau!!
Hakuna tofauti na mtu anayeondoka mkoa kwa sababu anaamini fursa huko ni chache, na hivyo kuamua kwenda Dar kwa sababu anaamini huko fursa ni nyingi. Kama hukujiandaa, of course utafika airport na kuanza kushangaa shangaa lakini utakuwa unashangaa shangaa "nchini kwako", sawa na mtu aliyetoka Mkoa akaanza kushangaa shangaa "Ubungo Terminal"!! Lakini pamoja na kushangaa shangaa kwako, Green Card itakuwa fursa ya kutafuta fursa kwa sababu utahesabika ni "mmoja wao" mwenye haki sawa na wao!Ukienda marekan unapewa na kitengo au ndio unafika Airport kushangaa tu? Jazia nyama Basi point yako mkuu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yaani kuna watu wamezaliwa NYC bado ni Homeless na msosi ni shida na lugha yao anaijua kwa 100%. Mimi na ze zez eee zee zis is naenda kutafuta nini huko? bora nitesekee kwetu Chanika.
Kwenye background si lazima iwe nyeupe ila tu isiwe Bluu ya kukoza, au nyekundu, njano nk. Bluu ya bahari wanakubaliLink ni https://dvprogram.state.gov/. Lakini kama nilivyomwambia mwana mmoja, picha ni jambo dogo sana lakini kwa DVL wana vigezo vyao. Unaweza kuwa na picha inayoonekana ipo bomba ile mbaya kumbe doesn't meet required dimensions. So, kama huna uhakika na passport size uliyonayo, ni bora ukapige kwenye professional photo studios. Kwa wakazi wa Dar, wanaweza kwenda pale Benjamin Mkapa Building au Haidary Plaza, na ukifika waambie kabisa unahitaji passport size FOR GREEN CARD. Hawa huwa wanafahamu masharti ya hizo photos. Make sure inakuwa na white background in case anajisahau!!
Gharama za kupiga picha zipojeLink ni https://dvprogram.state.gov/. Lakini kama nilivyomwambia mwana mmoja, picha ni jambo dogo sana lakini kwa DVL wana vigezo vyao. Unaweza kuwa na picha inayoonekana ipo bomba ile mbaya kumbe doesn't meet required dimensions. So, kama huna uhakika na passport size uliyonayo, ni bora ukapige kwenye professional photo studios. Kwa wakazi wa Dar, wanaweza kwenda pale Benjamin Mkapa Building au Haidary Plaza, na ukifika waambie kabisa unahitaji passport size FOR GREEN CARD. Hawa huwa wanafahamu masharti ya hizo photos. Make sure inakuwa na white background in case anajisahau!!
ASANTE SANA NDUGU YANGU, NGOJA NIIPAMBANIE BAHATI YANGU.Leo ndo leo. Geti linafunguliwa rasmi saa 1 usiku kwa saa za Tanzania.