OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,125
- 24,060
Mwenye na uzoefu wa picha za green card atusaidie wakuu.
Mkuu hizi East Africa temporary passport zinaruhusiwa kwa sisi tusiokuwa na passport kubwa ?Link ni https://dvprogram.state.gov/. Lakini kama nilivyomwambia mwana mmoja, picha ni jambo dogo sana lakini kwa DVL wana vigezo vyao. Unaweza kuwa na picha inayoonekana ipo bomba ile mbaya kumbe doesn't meet required dimensions. So, kama huna uhakika na passport size uliyonayo, ni bora ukapige kwenye professional photo studios. Kwa wakazi wa Dar, wanaweza kwenda pale Benjamin Mkapa Building au Haidary Plaza, na ukifika waambie kabisa unahitaji passport size FOR GREEN CARD. Hawa huwa wanafahamu masharti ya hizo photos. Make sure inakuwa na white background in case anajisahau!!
Yeah zinaruhusiwa mkuuMkuu hizi East Africa temporary passport zinaruhusiwa kwa sisi tusiokuwa na passport kubwa ?
Kwa kweli sina uhakika. Hata hivyo kumbuka kwamba, pale hutaambiwa ku-upload possport bali utaambiwa ku-upload number ya passport. Sasa sina uhakika kama system inaweza kutofautisha hizo namba!Mkuu hizi East Africa temporary passport zinaruhusiwa kwa sisi tusiokuwa na passport kubwa ?
Sorry, sijui ulishapata jibu! Kama bado, basi pale Haidary Plaza inakuwa Sh 5000 kwa copy 4. Hakikisha unaenda na flash or anything kitakachokuwezesha kubeba soft copy ya pic yakoGharama za kupiga picha zipoje
Green card sio hati ya uraia bali ni kibali - permanent resident. Hati ya ukazi Nchini Marekani lakini sio citizenship ya Marekani.Hati ya uraia ya Marekani inayotolewa kwa mtindo wa bahati nasibu...
Oyaaahhhh Man, unataka kukimbia tozo??????Kuomba hii green card mwisho lini wakuu
Nataka nikaishi nyuu yokuuuuu NY
View attachment 1926659
Mtu anaeingiza 120m TZS kwa mwaka hapa Tz huko nyuu yokuu ni kapuku tu
View attachment 1926661
Kwa iyo Mimi mziba pancha za baiskeli siwezi kupata?Unajilipia mwenyewe...
Kawaida green card wanashinda watu wenye kada zao za kazi, elimu, kipaji, n.k na sio hohehae tu, sababu ukifanikiwa kupita hatua zote unatarajiwa kuomba kazi huko kwao na kupata haki zote za kuishi kama raia...
Umeelewa alichouliza kweli?Yeah zinaruhusiwa mkuu
Cost of living????what about the cost of leaving
Leaving and livingCost of living????