Great deception (project blue beam & cern)

Great deception (project blue beam & cern)

MKUU LITTLE HULK thanks for the beautiful article.👌👌👌👌😎😞😔😖
 
mkuu nimekuelewa... well unachosema ni sawa kwa wao wanavosema wao ... nimejaribu kutoa vitu watu wengine wanahisi zinafanyika nyuma ya pazia ndo maana imekuwa conspiracy story .... jaribu kutafuta zaid utaelewa usi gande hapo hapo..... so asante kwa ushauri ila shule ninayo ya kutosha...


Hapana, nimesikitika unavyosema IYL ni agenda kua CERN, wakati kita photonics scientists anajua CERN primary focus ni atomic and molecular physics, which is entirely a different branch of physics.

FYI manipulation of moving pockets of light ( photonics) na manipulation of atoms, unawezaje kuita ni kitu kimoja?umesoma waveguide theory?unaelewa chochote kuhusu Schrodinger equations na kwanini sio waveguide theory inayotumia kuprove Heisenberg phenomenon?

Kuwa na elimu sio sababu ya kutokuandika vitu vya hovyo. Kuwa na degree5 za history hakukufanyi kuwa qualified kuandika kuhusu physics concepts za secondary, utaalamu wa sehemu moja ya sayansi haukufanyi kuwa mmbobezi wa sehemu nyengine.

Mengi uliyoandika kuhusu Physics/Photonics/ Quantum theory, ni uongo mtupu. Ndio maana nimesema hivyo.
 
Hapana, nimesikitika unavyosema IYL ni agenda kua CERN, wakati kita photonics scientists anajua CERN primary focus ni atomic and molecular physics, which is entirely a different branch of physics.

FYI manipulation of moving pockets of light ( photonics) na manipulation of atoms, unawezaje kuita ni kitu kimoja?umesoma waveguide theory?unaelewa chochote kuhusu Schrodinger equations na kwanini sio waveguide theory inayotumia kuprove Heisenberg phenomenon?

Kuwa na elimu sio sababu ya kutokuandika vitu vya hovyo. Kuwa na degree5 za history hakukufanyi kuwa qualified kuandika kuhusu physics concepts za secondary, utaalamu wa sehemu moja ya sayansi haukufanyi kuwa mmbobezi wa sehemu nyengine.

Mengi uliyoandika kuhusu Physics/Photonics/ Quantum theory, ni uongo mtupu. Ndio maana nimesema hivyo.
Asante mkuu maana watu wengi humu wanalisha wenzao matango pori
 
Mleta mada nakushukuru kwa maelezo yako sababu hiyo project beam nimeifuatilia sana kwenye mitandao nakosa mtu wa kujadiliana naye maake kalibia kila mtu ninayemuuliza kama anafahamu hii kitu kila ninaye muuliza anabaki kunishangaa ; Naamini kabisa hivi vitu hujavitoa kichwani inamaana umeumiza kichwa kwenye documentary mbalimbali shida ni pale mtu anapokurupuka na midharau kibao utadhani hivi vitu umeoteshwa. Kama wanadhani ulichokiaandaa ni pumba basi tunaomba watuletee ya kwao.......
 
Comrade u has written a very big thing only briefly at the front LIVING programs, kweli hii kitu kwa wakristo wanaofuatilia prophecy najua hawana shida na hii but wale wenzangu na yeye ni shida.
 
this cern was responsible for nepal earthquake due cern power up beams.bt wakuu naomba ata kama unajua sana ama hajui hakuna maana ya kukashifiana jukwani.
 
Deception come this way maoni yako ni muhimu, kwa mkristo anaefuatilia unabii hii mada haimpi shida
 
Last edited by a moderator:
Hawa viumbe ni majini ila wanatumia mtazamo wa kisayansi na majina lukuki tusiwatambue kwenye huu ujio wao mpya.Hao aliens ni majini tu,wako duniani tangu enzi.
 
Huna cha kujibu,mpika wa chai wa scientists wa CERN,braggadocio prick

Unajua mimi pia nilikua suspicious na huyu jamaa. Kuna post ali emply kuwa yy ni mmoja wa scientists wa CERN hehehe unajua na hisi anafikiri hicho kingereza chake ndio watu wataamini ni top scientist CERN. Wale watu utawakuta chat sights kweli? Hehehe anyways life is short ni vizuri kujifurahisha most times.
 
Unajua mimi pia nilikua suspicious na huyu jamaa. Kuna post ali emply kuwa yy ni mmoja wa scientists wa CERN hehehe unajua na hisi anafikiri hicho kingereza chake ndio watu wataamini ni top scientist CERN. Wale watu utawakuta chat sights kweli? Hehehe anyways life is short ni vizuri kujifurahisha most times.

  • scientists wa CERN kwenye makaratasi ya bongoland! anajua kila kitu, anabisha hata wenye sayansi waliyoyakubali!(samahani)​



 
Haya mambo ni mazito sana wala hakuna haja ya kubishana hata hivyo how can you deny nothing ?Wataalamu wanyakati,muda na tafsiri za matukio makubwa yaliyopita ,yaliyopo na yajayo waendelee kudadavua kwa undani juu ya Cern.
 
Project Sign..

Project Grudge..

Project Yellow Book..

Project Blue Book...

Project Red Book..

Majestic 12...

Collins elite...

Dr Phil Schneider and Dulce base..

Dr Guy Consolmagno comments..

Dr Gabriel Funes comments..

Specola Vaticana...
 
hahahah dude you are having a bit too much of fictional stories!
 
this cern was responsible for nepal earthquake due cern power up beams.bt wakuu naomba ata kama unajua sana ama hajui hakuna maana ya kukashifiana jukwani.

Umesema vizuri sana, ukweli hakuna maana ya kukashifiana na kuonyesha dharau,kama ni kuelimishana kwa nini watu wasitumie lugha za kistaarabu! Nimesikitika sana mtoa mada amejaribu kushare anachojua lkn bado anaweza kupingwa/kujadiliana kistaarabu bila kashfa na dharau.
 

  • scientists wa CERN kwenye makaratasi ya bongoland! anajua kila kitu, anabisha hata wenye sayansi waliyoyakubali!(samahani)​

    p

Na atuambie ni Kwa nini logo yaCERN ni 666...na sio Kujadili na terminologies tupu hapa. Maswali yetu ni Marais tu! NAOMBA KUWAKILISHA!
 
Back
Top Bottom