Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,045
Kuna majimbo mawili mkoani Kagera la BK-mjini na BK vijijini ambayo hayastaili kuwa chini ya CCM lakini kwakuwa wagombea wa CCM wanatumia pesa na vitisho kwa wananchi mfano Kagasheki na Jason Rweikiza inakuwa ngumu kuwatoa.
Wapiga kula wananjaa sanaa anayetoa pesa ndo anapata kula.
Wapiga kula wananjaa sanaa anayetoa pesa ndo anapata kula.