Mukoba ni yupi huyo mkuu? Au ndo yule katibu wa walimu aliyepigwa ngwara kipindi fulani?
Mukoba ni yupi huyo mkuu? Au ndo yule katibu wa walimu aliyepigwa ngwara kipindi fulani?
Huyohuyo mkuu!Raisi wa CWT.
mkuu mbona kuna picha nyingi tu unaweza kuzitumia kama avata?
nakuomba pliz badilisha avatar.
Mkuu una maana kibamba naye kishanunuliwa?kama ni yule jamaa hamna kitu. aliwakusanya walimu miaka ile halafu akaishiwa kununuliwa mpaka akasababisha waalimu (hasa kina mama) kuangua vilio hadharani kama watoto wadogo.
hafai yule mchumia tumbo tu kama yule jamaa anayejiita mwenyekiti wa jukwaa la katiba.
Mkuu una maana kibamba naye kishanunuliwa?
Mukoba ni yupi huyo mkuu? Au ndo yule katibu wa walimu aliyepigwa ngwara kipindi fulani?
mkuu mbona kuna picha nyingi tu unaweza kuzitumia kama avata?
nakuomba pliz badilisha avatar.
LWAKATARE MUGANYIZI ENTALE YA BUKOBA.bado tunamwamini na kumhitaji bukoba huyo gration muondoweni kabisa katika list ya kumchallenge lwakatare kwan alichowafanyia walimu baada ya kupozwa na wakubwa kunadhihirisha kua upambanaji wake kwa maslahi ya wengi (0).
kuna vitu vidogo vinamwangusha Lwakatare lakini bado anapendwa sana bukoba hasa na vijana.