Graphics Design

Graphics Design

Wakuu khabari zenu, naomba kujua namna ya kujifunza graphics design ni njia gani nitumie ili niweze kujua?

Napenda kujifunza vitu vipya ivyo naomba muongozo wa namna ya kufahamu na kuelewa kabisa graphite na kuja kuwa mtaalam yani ni base na kufanya hizi mambo napenda kinoma wakuu.

Asanteni.

#CFC

Sent using Jamii Forums mobile app
Wekeza muda wako wa kutosha ku practice....kujua kuchora si lazima inategemeana unataka kufanya kazi gani.... pia software una download kwa kuanzia download free software zilizo kuwa cracked kama adobe CS 6 na za chini yake zinafanya kazi vizuri hata kwenye duo core zenye ram 2 na graphic ya less 500mb....in fact kama unaanza kusoma mwenyewe unacho hitaji ni bando lako la kupitia tutorial na kudownload vi plug-in.....
NOTE:graphics is not about drawing it's about creativity

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mm nataman vitu kama hvyo ila sijui nianzie wap
 
nilianza kujifunza graphics design toka mwaka 2017 kupitia yutube tu, mpaka sasa hivi naweza sema niko vizur
 
Back
Top Bottom