Graduation of chadema students organization(chaso).

Graduation of chadema students organization(chaso).

Generalkaduma

Member
Joined
Apr 29, 2011
Posts
20
Reaction score
5
Tangazo Tangazo: Chadema Students Oganisation (CHASO) mkoa wa Dar. wanakualika kwenye sherehe za MAHAFARI ya kuwaaga wana Chaso mwaka wa mwisho vyuo vikuu vya Dar. Ni kesho J/pili tar 15/06/2014 katika ukumbi wa Msimbazi center kuanzia sa 3:0 asbuhi. Mgeni rasmi atakuwa ni Mabere Malando akiongozana na John Mnyika (MB) pamoja na Godbless Lema (MB) Nyote mnakaribishwa. Imetolewa na Maganga Japhet E. Afisa habari chaso mkoa Dar(0768668483)
 
Khaa!! MAHAFARI??? MALANDO?? .. Ndiyo madokta wa CDM hawa
 
Khaa!! Kwahiyo Dr Lema atakuwepo hapo au kwenye tamasha la olasiti?? Itakuwa ajabu sana akiwepo Dar,,
 
Back
Top Bottom