Wasomi wapo CCM bana!
Chadema hazina yao watu kama hawa, shuleni walikimbia "umande"
hacha utoto bhana.
Usomi sio kuwa na vyeti tu ni pamoja na huwezo wa kujitambua na kupambanua mambo!
Huyu ni Mbunge wa viti maalum, Mkwe wa mzee Ndesamburo mwenye Certificate ya Hotel Management.
Watu aina hii ndio chadema inategemea ikitwaa dola wawe Mawaziri?
Name Grace Kiwelu Surname Kiwelu First Names Grace Sindato Alternate Name Title Country of Birth Tanzania
Positions From To Organisation Position 2005 Special Womens Seats Member
Date of Birth 14 Mar 1967 Political Affiliation CHADEMA Telephone Address Notes EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Young Men's Christian Association Certificate in Hotel Management Course 1987 1988 CERTIFICATE
Marangu Secondary School O-Level 1982 1985 SECONDARY
Makurumla Primary School Primary Education 1979 1981 PRIMARY
Kiwalaa Primary School Primary Education 1975 1979 PRIMARY
--------------------------------------------------------------------------------
CERTIFICATIONS
Certification Name or Type Certification No. Issued Expires
No items on list
--------------------------------------------------------------------------------
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From Date To Date
Keys Bureau de Change Manager 2000 2000
Moshi Phamarcy Purchasing Officer 1992 1999
Keys Hotel Cashier 1989 1991
--------------------------------------------------------------------------------
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location Position From To
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA Member of National Council 2003
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA Member of Parliament 2000 Todate
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA UWT Chairperson (Moshi District) 1996
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA Member 1992 Todate
---------------
Undugulization umejaa CDM...
Kila kiongozi mkuu ndani ya CDM ana mtu wake kwenye ubunge...
Hata kama hana qualifications!!
Hao wasomi walio CCM wameisaidiaje nchi kupambana na umaskini kama sio kuifisadi nchi na kutusababishia kuwa maskini wakati tuna maliasili nyingi.Amka ndugu yangu usiwe na fikra mgando hivyo.
Kweli wasomi wapo CCM.
Ila nafikiri hii ni kasumba (mentality) iliyopitwa na wakati.
Tujiulize yafuatayo ili tuone 'wasomi' hao wametusaidia nini:-
'Wasomi' hao ndio waliotufikisha hapa kama taifa (umaskini wa kutisha)
'Wasomi' hao ndio wanaotia saini mikataba mibovu ya madini
'Wasomi' hao ndio walioahidi 'maisha bora kwa kila mtanzania' !!!
Usomi bila tija unasaidia nini taifa letu.
Wamesoma saana, halafu ndio wametusaidia nini??
Kama kwa usomi wao ndio wametufikisha hapa kwenye umaskini huu, JE, wasingesoma hali ingekuwaje ???
Abdu Jumbe
Ali Hassan Mwinyi
Pia ulete CV zao
kusoma kunamsaidia mtu kuelewa kitu kirahisi na kwa haraka lakini kiujumla waliosoma hapa kwetu hawana msaada wowote kama hao unaosema wa ccm wenye phd na madocta lakini bara bara zina jengwa na wachina wasiosoma tena inasemekana ni wafungwa huko kwao ....mfano aliosomea engineering hapa kwetu anafanya kazi wapi za taaluma yake wakati hao wa ccm wameuza viwanda vyote siku hizi hata watu wa engineering hawana pakufanya fieldWasomi wapo CCM bana!
Chadema hazina yao watu kama hawa, shuleni walikimbia "umande"
Job Lusinde vipi mkuu.
GENERAL | ||
---|---|---|
Salutation | Honourable | Member picture |
First Name: | Livingstone | |
Middle Name: | Joseph | |
Last Name: | Lusinde | |
Member Type: | Constituency Member | |
Constituent: | Mtera | |
Political Party: | CCM | |
Office Location: | Box 50, Dodoma | |
Office Phone: | +255 755 453327/+255 785 679927 | |
Ext.: | ||
Office Fax: | ||
Office E-mail: | llusinde@parliament.go.tz | |
Member Status: | Current Member | |
Date of Birth | 4 March 1972 |
EDUCATION | ||||
---|---|---|---|---|
School Name/Location | Course/Degree/Award | Start Date | End Date | Level |
Mbigili Primary School | Primary Education | 1980 | 1987 | PRIMARY |
CCM College Ihemi | Certificate | 2007 | 2008 | CERTIFICATE |
EMPLOYMENT HISTORY | |||
---|---|---|---|
Company Name | Position | From Date | To Date |
The Parliament of Tanzania | Member - Mtera Constituency | 2010 | 2015 |
POLITICAL EXPERIENCE | |||
---|---|---|---|
Ministry/Political Party/Location | Position | From | To |
Chama Cha Mapinduzi, CCM | Secretary - Tarime District | 2006 | 2010 |
Chama Cha Mapinduzi, CCM | Assistant Secretary/Accountant | 2006 | 2007 |
CHADEMA | Member - National Executive Board | 1995 | |
Civic United Front, CUF | Secretary - Kawe Constituency | 1992 | 1995 |
Chama Cha Mapinduzi, CCM | Secretary |
naona mleta mada alitaka kufananisha na CV za akina Vicky, Grace ni kuwa hajadanganya kuandika Masters na Bachelor za uongo kama hao. Na hilo ndilo linalotusumbua, yaani elimu fake badala ya kueleza elimu yako halisiNaona tunajichanganya hapa.
Usomi sio maana yake uzalendo
Usomi sio maana yake kuipenda nchi yako
Nadhani umaskini wetu nk (yote uliyoyasema) yametokana na kuwa na viongozi (wasomi/wasio wasomi) waliokosa uzalendo! Naona watanzania tumekosa kufundishwa mashuleni soma la Uzalendo na uraia bora, na ndio maana matatizo yoote haya.
Kiongozi mzuri inabidi awe msomi halafu awe ni mzalendo, hapo tutafika
Wasomi wapo CCM bana!
Chadema hazina yao watu kama hawa, shuleni walikimbia "umande"