Govt lawyers: ’We are tired of being associated with bad contracts signed by the govt

You got me right and correct Fundi!!
100% nakubaliana nawe.Hakuna kitisho kizuri zaidi na kinacopendeza zaidi ya pesa a.k.a chapaa a.k.a ankara!!That's waht i meant kama ulinisoma vizuri.Washakula chao na kunawa mikono ila walishau kufuta midomo sasa ndo wanaleta hizi stori ohh mboga ingewaje siuji nini!!!

Damn!! that's why I love Tanzania!!!

Siku nimelamishwa kukimbia na cheque ya 100m siku zile Rostam anagombea Igunga uchaguzi wa Marudio , jana yake serikali ilisema haitumii pesa za walipa katika kusaidia CCM next day ikatokea chini ya Mwinyi kumsaidia Rostam kule igunga nilijiondoa kazini hata leo niko naishi lakini nilikataa kushiriki ujinga wa kukimbizana na cheque baada ya saa tisa na nusu saa za kazi .
 
WAKUBWA HAWA WAANDISHI WA THIS DAY HUWA WANATUMWA NA NANI WANYEMUOGOPA KIASI CHA KUTOJUA HATA MWALIMU CHUNGU SIYE MKURUGENZI WA TIC????WAACHE KUWASAKAMA WATU PASIPO KUWA NA TAARIFA ZA KUTOSHA.

FDR,

Nilikuwa naangalia website ya TIC kuona hiyo Board of Directors ikoje na kama huyu Chungu yupo au vipi.Kwa kutumia interface ya website yao hawana hata link ya page ya Board of directors

Kuna hii ambayo ipo searchable on google, to my surpise bado wamemuacha Mbilinyi and the old board of directors.

Hawa ndiyo watu wenye dhamana ya kuleta wawekezaji nchini hawajui hata umuhimu wa website na kuweka Board of Directors online.

http://www.tic.co.tz/TICWebSite.nsf...9870c20ef4cd57a1442572d4006bc092?OpenDocument
 
FDR soma post vizuri,
Dr. Chungu sio Mkurugenzi wa TIC bali Mkurugenzi wa kitengo NDANI ya TIC,wewe ndo una matatizo na unamwogopa mtu.Back to the point,hawa jamaa,sijui wanajiita wanasheria,watuambie jambo moja;walisign mkataba huo licha ya upuuzi huo wanaoukwepa au hawakusign?Swala la kwamba walilazimishwa halina msingi kwani hawakushikiwa bunduki.Wao wanajua kuwa katika criminal law "duress/vitisho" inakuwa defense pale tu kuna imminent danger kwa victim kumtaka afanye asichokitaka.Kulikuwa na Prof. Luoga (mwanzilishi na mmiliki mmojwawapo wa FK Law Chambers),huyu navyomfahamu jinsi ambavyo anagombana na watu wa serikali (rejea kupitishwa kwa Income Tax Act,2004) eti na yeye aje na utetezi wa kipuuzi kama huu.Really wonders will never cease.Waseme tu walipata 10% ya kiasi gani.

Ibambasi,

Mkurugenzi wa kitengo ndani ya TIC ni Mkurugenzi wa TIC.kuna mkurugenzi na mkurugenzi mkuu, hawakusema kuwa huyu ni mkurugenzi mkuu wamesema kuwa ni mkurugenzi kwa hiyo kama ni kweli ni mkurugenzi wa kitengo wako right.

The question is is he a director at all? Is FDRJr saying they said this guy is a director while he is not a director at all? Their website was not helpful at all.Suppose I am an investor trying to find some directors number ningekuwa nimeshindwa na wao wamepoteza investment opportunity!

Ukisoma sentensi ya kwanza kabisa ya article utaona wamemtaja Mkurugenzi mkuu ni nani

THE Permanent Secretary in the Ministry of Finance, Gray Mgonja, has been named alongside Tanzania Investment Centre (TIC) Executive Director Emmanuel Ole Naiko
 
FDR,

Nilikuwa naangalia website ya TIC kuona hiyo Board of Directors ikoje na kama huyu Chungu yupo au vipi.Kwa kutumia interface ya website yao hawana hata link ya page ya Board of directors

Kuna hii ambayo ipo searchable on google, to my surpise bado wamemuacha Mbilinyi and the old board of directors.

Hawa ndiyo watu wenye dhamana ya kuleta wawekezaji nchini hawajui hata umuhimu wa website na kuweka Board of Directors online.

http://www.tic.co.tz/TICWebSite.nsf...9870c20ef4cd57a1442572d4006bc092?OpenDocument


Pundit: Hili tunalijua, wala hakuna haja ya kwenda kote huko kwenye website. Dr Abdala Chungu ni Mkurugenzi wa kitengo cha uwekezaji na ujasirialimali (Investment and resources mobilisation) cha UDSM-sijui kama kiswahili chake ndio hicho. Yeye alienda Botswana akiwa ni mjumbe kutoka UDSM ambapo hii investment ipo. Tatizo la waandishi wetu ndio hilo; they never pay attention to details. But then, what do you expect kama watu wanasomea uandishi miezi mitatu na wanaondoka na cheti! Halafu Mkapa alikuwa akiwaambia kwamba waandishi uchwara wanasema anawatukana na kuwadharau. But, kama mwandishi anashindwa ku-grasp such a simple and naked fact na kupachika watu wadhifa wasio wao, what else should we call them?
 
Pundit: Hili tunalijua, wala hakuna haja ya kwenda kote huko kwenye website. Dr Abdala Chungu ni Mkurugenzi wa kitengo cha uwekezaji na ujasirialimali (Investment and resources mobilisation) cha UDSM-sijui kama kiswahili chake ndio hicho. Yeye alienda Botswana akiwa ni mjumbe kutoka UDSM ambapo hii investment ipo. Tatizo la waandishi wetu ndio hilo; they never pay attention to details. But then, what do you expect kama watu wanasomea uandishi miezi mitatu na wanaondoka na cheti! Halafu Mkapa alikuwa akiwaambia kwamba waandishi uchwara wanasema anawatukana na kuwadharau. But, kama mwandishi anashindwa ku-grasp such a simple and naked fact na kupachika watu wadhifa wasio wao, what else should we call them?

Kitila, shukurani kwa ufafanuzi ambao sikuweza kupata uhakika kutoka kwenye internet.Muandishi ianwezekana kakosea mengi lakini siyo hilo

Nanukuu

Other members of the delegation to Gaborone were TIC director of investment and resource mobilization Dr. A. Chungu

Na kiuandishi ukishamuintroduce mtu hivyo huko mbele unaweza kumuita "director" kwa sababu ni director.The fact kwamba alishamuintroduce Executive Director kwenye sentensi ya kwanza pia inaondoa utata wowote kwamba nani ni nani.Inaweza kuwa kosa kubwa kumuita Executive Director "Director" kwa sababu he is more than just a director (Kama vile ilivyo kosa kumuita Waziri Mkuu "Waziri" because he is more than a mere Waziri).Lakini director wa kawaida kumuita director ni sawa tu.

Kikubwa kabisa, in this age of the internet and "The World is Flat" mimi nimesikitishwa zaidi na hiyo Website ya TIC kukosa link ya Board of directors.
 
Mimi bado naona hii ya huyu Dr. kuwa TIC au Chuo Kikuu ni non-issue. Naona aheri angekuwa TIC maana wao wanakimbizia wawekezaji, feki au sio feki lakini huko Chuoni yeye ndiye aliyetakiwa hasa aangalie maslahi ya Chuo. Leo wanampa mtu milki ya miaka 50 na wanajiona wamepata? Mradi gani unaochukua miaka 50ku break even? Na juu ya yote haya ni ma'incentive' kibao. Tuweke pembeni uwezo wa waandishi wetu na tuangalie mantik ya mkataba wenyewe. Na, by the way, hawa mawikili hawasaini mikataba labda kama mashahidi tu!
 
Back
Top Bottom