chokambayaa JF-Expert Member Joined Nov 1, 2010 Posts 546 Reaction score 69 Feb 5, 2011 #1 Kuna jamaa angu anaishi Iringa eti kanambia kuna fununua ya kuwa Mtoto wa Jeikei kanunua stand ya miomboni ya vidaladala na anajiandaa kuzuia kuoakia abiria ili ajenge ghorofa hapo Is it true? Jamaa zangu wa Ir kama mna info Mtujuze....
Kuna jamaa angu anaishi Iringa eti kanambia kuna fununua ya kuwa Mtoto wa Jeikei kanunua stand ya miomboni ya vidaladala na anajiandaa kuzuia kuoakia abiria ili ajenge ghorofa hapo Is it true? Jamaa zangu wa Ir kama mna info Mtujuze....