Zawadini JF-Expert Member Feb 2, 2012 2,213 1,639 Dec 29, 2018 #121 Aliyetengua alikuwa awe wa kwanza kujitengua. Yeye ndiye aliyesaini sheria. Hapa ni kutafuta kisingizio tu. Au ile saini ilighushiwa?
Aliyetengua alikuwa awe wa kwanza kujitengua. Yeye ndiye aliyesaini sheria. Hapa ni kutafuta kisingizio tu. Au ile saini ilighushiwa?
Wangari Maathai JF-Expert Member Aug 13, 2018 34,962 70,472 Dec 29, 2018 #122 Bradha said: Hata mimi nilivyomaliza kutype nilirudishia mkono wangu Click to expand... ππwapi?kwapani?
Bradha said: Hata mimi nilivyomaliza kutype nilirudishia mkono wangu Click to expand... ππwapi?kwapani?
James Comey JF-Expert Member May 14, 2017 8,112 13,342 Dec 29, 2018 #123 Kurunzi said: JPM sijui anmpendea nini huyo mama anakisauti kishari Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Sauti ya Jenista na ya yule mama Kishatu huwa nikizisikia tu najua nothing interesting is coming from them hahahaaaa Sent using Jamii Forums mobile app
Kurunzi said: JPM sijui anmpendea nini huyo mama anakisauti kishari Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Sauti ya Jenista na ya yule mama Kishatu huwa nikizisikia tu najua nothing interesting is coming from them hahahaaaa Sent using Jamii Forums mobile app
sblandes JF-Expert Member Apr 25, 2010 6,136 4,252 Dec 29, 2018 #124 Jenesta hayuko peke yake, Wabunge waliupitisha kihuni,tatizo ni bunge.Lakini yawezekana na Magu hakuwa makini.
Jenesta hayuko peke yake, Wabunge waliupitisha kihuni,tatizo ni bunge.Lakini yawezekana na Magu hakuwa makini.
Bradha JF-Expert Member Dec 18, 2017 8,787 45,248 Dec 29, 2018 #125 manengelo said: wapi?kwapani? Click to expand... hahahahahah, siamini ulivyonigeuka Sent using Jamii Forums mobile app
manengelo said: wapi?kwapani? Click to expand... hahahahahah, siamini ulivyonigeuka Sent using Jamii Forums mobile app
Wangari Maathai JF-Expert Member Aug 13, 2018 34,962 70,472 Dec 29, 2018 #126 Bradha said: hahahahahah, siamini ulivyonigeukaView attachment 980597 Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... πππππͺ
Bradha said: hahahahahah, siamini ulivyonigeukaView attachment 980597 Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... πππππͺ
Zawadini JF-Expert Member Feb 2, 2012 2,213 1,639 Dec 30, 2018 #127 sblandes said: Jenesta hayuko peke yake, Wabunge waliupitisha kihuni,tatizo ni bunge.Lakini yawezekana na Magu hakuwa makini. Click to expand... Yaani huna hakika? Ile saini iliwekwa na wasaidizi wake? Siliono kosa la Mhagama. Labda kwa kuzingatia uwajibikaji wa pamoja wa Baraza la Mawaziri au kama bunge. Tatizo liko kwenye baraza la kutunga sheria (bunge na Rais). Mengine ni kiini macho tu
sblandes said: Jenesta hayuko peke yake, Wabunge waliupitisha kihuni,tatizo ni bunge.Lakini yawezekana na Magu hakuwa makini. Click to expand... Yaani huna hakika? Ile saini iliwekwa na wasaidizi wake? Siliono kosa la Mhagama. Labda kwa kuzingatia uwajibikaji wa pamoja wa Baraza la Mawaziri au kama bunge. Tatizo liko kwenye baraza la kutunga sheria (bunge na Rais). Mengine ni kiini macho tu
beth JF-Expert Member Aug 19, 2012 3,877 6,326 Jan 8, 2019 Thread starter #128 Sijui nifute kauli? Mnashaurije?
Chief Kabikula JF-Expert Member Jan 1, 2019 7,567 9,026 Jan 8, 2019 #129 General Mangi said: Katika mawaziri wanayofanya kazi ya kumtetea magufuli bungeni ni huyu Mhagama!! Hawezi mtumbua hata kidogo Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Yule siyo waziri in Shangingi la NEC.Anashika namba mbili baada ya Mongela.
General Mangi said: Katika mawaziri wanayofanya kazi ya kumtetea magufuli bungeni ni huyu Mhagama!! Hawezi mtumbua hata kidogo Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Yule siyo waziri in Shangingi la NEC.Anashika namba mbili baada ya Mongela.
Super Handsome JF-Expert Member Jul 16, 2013 3,846 6,439 Jan 8, 2019 #130 Sky Eclat said: Wala si gossip ni kweli Jenista na Jokate ni binamu. Jenista ndiye alinyoosha njia ya Jokate kuingia UVCCM. Mengine yalianzia hapo. Kusutwa ni suna. Have a nice weekend. Chao ππΎ Click to expand... Sio mabinamu ni mtu na mama yake mdogo!
Sky Eclat said: Wala si gossip ni kweli Jenista na Jokate ni binamu. Jenista ndiye alinyoosha njia ya Jokate kuingia UVCCM. Mengine yalianzia hapo. Kusutwa ni suna. Have a nice weekend. Chao ππΎ Click to expand... Sio mabinamu ni mtu na mama yake mdogo!
Mwakapumbu Member Mar 19, 2019 79 51 Apr 10, 2019 #131 Umeanza vizuri ukaharibu mwishoni kwa kuweka ushakunaku
Wangari Maathai JF-Expert Member Aug 13, 2018 34,962 70,472 Apr 10, 2019 #132 James Comey said: Sauti ya Jenista na ya yule mama Kishatu huwa nikizisikia tu najua nothing interesting is coming from them hahahaaaa Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Ana sauti mbaya sana...bora aliyekuwa mbunge wa kenge sijui nan yule
James Comey said: Sauti ya Jenista na ya yule mama Kishatu huwa nikizisikia tu najua nothing interesting is coming from them hahahaaaa Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Ana sauti mbaya sana...bora aliyekuwa mbunge wa kenge sijui nan yule