Gossip: Rais Magufuli anaweza asimtengue Waziri Mhagama kwa sababu zake binafsi..

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Jenista ni Waziri aliyeshiriki kwa kiasi kikubwa kuleta ishu ya kikokotozi cha mafao ya wastaafu. Ni yeye ndiye aliyetetea na kufanya morali ya wafanyakazi ishuke hivyo kuathiri uzalishaji.

Rais Magufuli, kwa kulitambua hili, leo Desemba 28 2018, ameitisha kikao na wadau kujadiliana kisha hatimaye kutengua matumizi ya kikokotoo kipya ambacho kanuni zilieleza wastaafu watalipwa 25% ya mafao yao kisha 75% kulipwa kidogo kidogo mpaka kifo.

Jioni yake, Mkurugenzi wa SSRA, Dkt irene aliyetetea utaratibu huo mpya ameachiwa kazi. Wadau wanataka na Waziri Jenista naye awajibishwe ili kubalansisha.

Nikitazama mwenendo wa hili sakata, ni dhahiri Waziri anapaswa kuwajibika au kuwajibishwa ikibidi. Lakini, maamuzi yanabaki kwa boss wake, Rais mwenyewe. Ikimpendeza atamtengua ila akiona anafaa kuendelea na majukumu, basi atamuacha aendelee.

Kuna wambea hapa wanasema huyo ni ngumu kumtosa kwa sababu ni 'mkwe' wake. Nikauliza mkwe wake kwa nani? Wanasema ni shangazi yake na mwafulani; yule aliyepewa shavu kwa wazaramo.

Hawara? Sijui.
 
Jenista ni Waziri aliyeshiriki kwa kiasi kikubwa kuleta ishu ya kikokotozi cha mafao ya wastaafu. Ni yeye ndiye aliyetetea na kufanya morali ya wafanyakazi ishuke hivyo kuathiri uzalishaji.

Rais Magufuli, kwa kulitambua hili, leo Desemba 28 2018, ameitisha kikao na wadau kujadiliana kisha hatimaye kutengua matumizi ya kikokotoo kipya ambacho kanuni zilieleza wastaafu watalipwa 25% ya mafao yao kisha 75% kulipwa kidogo kidogo mpaka kifo.

Jioni yake, Mkurugenzi wa SSRA, Dkt irene aliyetetea utaratibu huo mpya ameachiwa kazi. Wadau wanataka na Waziri Jenista naye awajibishwe ili kubalansisha.

Nikitazama mwenendo wa hili sakata, ni dhahiri Waziri anapaswa kuwajibika au kuwajibishwa ikibidi. Lakini, maamuzi yanabaki kwa boss wake, Rais mwenyewe. Ikimpendeza atamtengua ila akiona anafaa kuendelea na majukumu, basi atamuacha aendelee.

Kuna wambea hapa wanasema huyo ni ngumu kumtosa kwa sababu ni 'mkwe' wake. Nikauliza mkwe wake kwa nani? Wanasema ni shangazi yake na mwafulani; yule aliyepewa shavu kwa wazaramo.

Hawara? Sijui.
Ndo maana ukimgusa tu jiwe bungeni lazima jenister atoe utaratibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kuna upendeleo upendeleo mwingi sana awamu hii.

Mmoja alidanganya kuhusu wafanyakazi hewa akafukuziliwa mbali.
Mwingine alijaribu kutumika kukwepa kodi akaachwa na kuendelea kujichana.


Kuna wanaopendwapendwa.
 
JENISTER MHAGAMA MUST GO..

Kabla hakujacha..
Hapa ndipo namuunga mkono mkulu. Hapangiwi na weye usimpangie. Unataka amchague nani sasa naye keshasema kuwa hatakaa afanye kazi na wapinzani?? Mwambie basi Mnyika au yule Padre wa Iringa ajiunge mkono naye ili aichukue hiyo nafasi na Jenista apangiwe kazi nyingine bungeni. Hivi umewahi kumuona Jenista akimtetea bungeni au unasema tu. Unaona anavyokuwa wa kwanza kuomba "Utaratibu?"
 
Back
Top Bottom