Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi nilivyomaliza kutype nilirudishia mkono wangu
Sauti ya Jenista na ya yule mama Kishatu huwa nikizisikia tu najua nothing interesting is coming from them hahahaaaa
😂😂😂😂💪
Yaani huna hakika? Ile saini iliwekwa na wasaidizi wake? Siliono kosa la Mhagama. Labda kwa kuzingatia uwajibikaji wa pamoja wa Baraza la Mawaziri au kama bunge. Tatizo liko kwenye baraza la kutunga sheria (bunge na Rais). Mengine ni kiini macho tuJenesta hayuko peke yake, Wabunge waliupitisha kihuni,tatizo ni bunge.Lakini yawezekana na Magu hakuwa makini.
Yule siyo waziri in Shangingi la NEC.Anashika namba mbili baada ya Mongela.Katika mawaziri wanayofanya kazi ya kumtetea magufuli bungeni ni huyu Mhagama!!
Hawezi mtumbua hata kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio mabinamu ni mtu na mama yake mdogo!Wala si gossip ni kweli Jenista na Jokate ni binamu. Jenista ndiye alinyoosha njia ya Jokate kuingia UVCCM. Mengine yalianzia hapo.
Kusutwa ni suna. Have a nice weekend. Chao 👋🏾
Sauti ya Jenista na ya yule mama Kishatu huwa nikizisikia tu najua nothing interesting is coming from them hahahaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app