Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 445
- 754
๐ฆ๐ถ๐บ๐ ๐๐ฎ ๐๐ผ๐ผ๐ด๐น๐ฒ ๐ธ๐๐๐ฒ๐ป๐ด๐ฒ๐ป๐ฒ๐๐๐ฎ ๐๐ป๐ฑ๐ถ๐ฎ
Makamu raisi wa kampuni ya Google Mr Rick Osterloh amesema kampuni yao ya Google muda sio mrefu wataweza kufungua kampuni ya kutengeneza simu na vifaa mbalimbali vya Google nchini India.
Amesema ni furaha kubwa sana ikiwa kampuni ya Google kuweza kufungua kiwanda cha kuzalisha bidhaa mbalimbali nchini India. Kuanzia mwaka 2024 kuanzia simu za Google pixel 8 na kuendelea baadhi zitakua zinatengenezwa toka india.
Tutarajie vifaa hivi kuanza kuundwa na kutumika mwaka 2024 ambapo baadhi ya simu, saa za Google zitakua zimeandikwa "Made in India".
Makamu raisi wa kampuni ya Google Mr Rick Osterloh amesema kampuni yao ya Google muda sio mrefu wataweza kufungua kampuni ya kutengeneza simu na vifaa mbalimbali vya Google nchini India.
Amesema ni furaha kubwa sana ikiwa kampuni ya Google kuweza kufungua kiwanda cha kuzalisha bidhaa mbalimbali nchini India. Kuanzia mwaka 2024 kuanzia simu za Google pixel 8 na kuendelea baadhi zitakua zinatengenezwa toka india.
Tutarajie vifaa hivi kuanza kuundwa na kutumika mwaka 2024 ambapo baadhi ya simu, saa za Google zitakua zimeandikwa "Made in India".