Google search: Tundu Lissu amkaribia Donald Trump

Google search: Tundu Lissu amkaribia Donald Trump

assadsyria3

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
6,909
Reaction score
4,057
POLISI TANZANIA WAMFANYA TUNDU LISSU KUWA MTU MASHUHURI DUNIANI APATA HITS MILLIONI 82 KATIKA SEARCH ENGINE YA GOOGLE NYINGI KUTOKA AUSTRALIA, MAREKANI NA ULAYA WAKITAFUTA (SEARCH) NENO TUNDU LISSU.
Kesi anazofunguliwa Tundu Lissu na Polisi zimemfanya kuwa mtu mashuhuri duniani, Mtandao wa Google Search Engine umepata maulizo (hits) millioni 82 zote zikitafufuta (search) neno Tundu Lissu huku hits nyingi zikitokea Australia.
Kutokana na takwimu hizo za Google Search Engine sasa Tundu Lissu anaingia katika orodha ya watu mashuhuri duniani kwa gharama ya Polisi wa Tanzania. Tundu Lissu anamfuatia Donald Trumph kwa kupata hits nyingi katika mfumo wa Internet wengine wakiandika Tundu Lissu.
Katika kurasa za Facebook taarifa za Tundu Lissu and jina Tundu Lissu pia zimepata "Like" millioni nane na mia tano na sitini hadi leo saa kumi na moja jioni kwa saa za GMT.
Chanzo : Google Statistics
 
POLISI TANZANIA WAMFANYA TUNDU LISSU KUWA MTU MASHUHURI DUNIANI APATA HITS MILLIONI 82 KATIKA SEARCH ENGINE YA GOOGLE NYINGI KUTOKA AUSTRALIA, MAREKANI NA ULAYA WAKITAFUTA (SEARCH) NENO TUNDU LISSU.
Kesi anazofunguliwa Tundu Lissu na Polisi zimemfanya kuwa mtu mashuhuri duniani, Mtandao wa Google Search Engine umepata maulizo (hits) millioni 82 zote zikitafufuta (search) neno Tundu Lissu huku hits nyingi zikitokea Australia.
Kutokana na takwimu hizo za Google Search Engine sasa Tundu Lissu anaingia katika orodha ya watu mashuhuri duniani kwa gharama ya Polisi wa Tanzania. Tundu Lissu anamfuatia Donald Trumph kwa kupata hits nyingi katika mfumo wa Internet wengine wakiandika Tundu Lissu.
Katika kurasa za Facebook taarifa za Tundu Lissu and jina Tundu Lissu pia zimepata "Like" millioni nane na mia tano na sitini hadi leo saa kumi na moja jioni kwa saa za GMT.
Chanzo : Google Statistics
Assad werevu tunajua ulikolenga, sasa ni hivi: Trump ni shujaa, hatafuni maneno, anasema la kweli bila kificho na bila kuvuja sheria.. Anasema hisia zake within the confines of law, hicho hapa hamkitaki. Kosa la Tundu Lisu ni lipi? Kutoa hisia zake?
 
POLISI TANZANIA WAMFANYA TUNDU LISSU KUWA MTU MASHUHURI DUNIANI APATA HITS MILLIONI 82 KATIKA SEARCH ENGINE YA GOOGLE NYINGI KUTOKA AUSTRALIA, MAREKANI NA ULAYA WAKITAFUTA (SEARCH) NENO TUNDU LISSU.
Kesi anazofunguliwa Tundu Lissu na Polisi zimemfanya kuwa mtu mashuhuri duniani, Mtandao wa Google Search Engine umepata maulizo (hits) millioni 82 zote zikitafufuta (search) neno Tundu Lissu huku hits nyingi zikitokea Australia.
Kutokana na takwimu hizo za Google Search Engine sasa Tundu Lissu anaingia katika orodha ya watu mashuhuri duniani kwa gharama ya Polisi wa Tanzania. Tundu Lissu anamfuatia Donald Trumph kwa kupata hits nyingi katika mfumo wa Internet wengine wakiandika Tundu Lissu.
Katika kurasa za Facebook taarifa za Tundu Lissu and jina Tundu Lissu pia zimepata "Like" millioni nane na mia tano na sitini hadi leo saa kumi na moja jioni kwa saa za GMT.
Chanzo : Google Statistics
Can you hear yourself??? Unalinganisha internet popularity ya Donald Trump na Tundu Lissu??? Duuuh. Kweli mahaba yakizidi ni balaa. Na likes million 8 za Facebook unazielewa kweli??
 
Mahoookaaaaa hahahaaaaaaaa.jumamosi yangu wee.
 
Ni tanzania Pekee ambapo Polisi wanawasha V8 na kuchoma mafuta na kuunguza parts za gari hili lenye thamani ya mamilioni kwa ajili ya kumkamata Lissu kwa Un proved Allegations (yaani udaku). Siasa za maji taka za ccm zinalitia hasara taifa hili
 
Can you hear yourself??? Unalinganisha internet popularity ya Donald Trump na Tundu Lissu??? Duuuh. Kweli mahaba yakizidi ni balaa. Na likes million 8 za Facebook unazielewa kweli??
Mkuu ebu tupe ukweli ulivyo.
 
Huyo Tundu Lisu tangu jana ameufyata. Sijamsikia akirudia tena vile vijimaneno vyake.
 
Ofcoz watanzania walivyo vichwani wanaamini kila kitu kilichoandikwa kwenye internet bila kufuatilia, em uliyeanzisha hii mada weka source yako tupia link kabisa maana unatudanganya. Hits 82 million unazijua vizuri? Mkiwa mnatunga uongo msijaribu kuuweka mbali sana na ukweli, uweke karibu kidogo ndio utadanganya vizuri, ungesema angalau 5million.

Nimeingia google trends na Tundu Lissu hana hata hits milioni, em leta source yako.
Na hiyo 8Million likes umetoa wapi statistics maana facebook hawatoi statistics kwa kufanya aggregation ya post za kila mtu aliyeshawahi kuongelea neno Tundu Lissu, tunaomba link ulipotoa hizi habari sio picha za whatsapp.
 
watanzania wenyewe hawafiki million 82,
7ae.png
 
Mpiganaji mtiifu

Naona post zako siku hizi ni za kuikosoa serikali ya Magufuli vipi bana maslahi yako yalitingishwa


Ha ha haa
 
Assadsyria alikua mwiba mkali kwa upinzani ukipitia hoja zake za nyuma sometimes akipindisha ukweli makusudi

Nashangaa kuona Lissu kawa mwema ghafla.Tuendelee kuisoma taratibu
kuisoma namba hakuchagui
 
Back
Top Bottom