Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,897
- 34,888
Nazikubali sana pixel ila kuziita p40 pro na one plus 10 takataka inabidi ukae chini na kujitafakari mkuu,u r wrongwewe unataja taka taka kwenye list ya pixels yaani unaongelea one plus na p40 kwenye ulimwengu wa pixel? Are you serios bro? unafananisha taka taka na Android ya kwanza kupokea Android 13 na newly security updates? bro hujui simu, unajua telephoto ni nini? au basi
Yani iphone Hadi ajitegemee bado sana na Leo designer wao Evans Hankey ameacha kazi na Apple Hadi Sasa hawajatangaza mrithi ajaye.
Nazikubali sana pixel ila kuziita p40 pro na one plus 10 takataka inabidi ukae chini na kujitafakari mkuu,u r wrong
Nimemshangaa sana aisee!Shekhe achana nae haijui p40 pro moto wake huyo yeye anafanya reviews za youtube tu
Nimemshangaa sana aisee!
Kwanza Kabisa p40 android 10 mwisho pixel mpaka 13 the rest angalia chiniNazikubali sana pixel ila kuziita p40 pro na one plus 10 takataka inabidi ukae chini na kujitafakari mkuu,u r wrong
Jamaa nachokukubali unaongea factsKwanza Kabisa p40 android 10 mwisho pixel mpaka 13 the rest angalia chiniView attachment 2394314
Kwanza Kabisa p40 android 10 mwisho pixel mpaka 13 the rest angalia chiniView attachment 2394314
Kwanza Kabisa p40 android 10 mwisho pixel mpaka 13 the rest angalia chiniView attachment 2394314
Kwa hiyo iPhone inamkondesha mtu?Pixel 6 pro is better than iphone 13 . Narudia tena in today's world of smart phones watu wanataka
1. Good quality camera (its all about pictures)
2. Simplicity (no limits)
3. Design (look)
4. RAM
5. Battery life
Kwenye hayo maeneo hapo juu ni kipi iphone 13 wamemshinda google pixel 6 pro? hakunaView attachment 2393979
@mzeemkavu embu kubali kwanza hapa mwenzio anasema android ni calculator lakini bado kuna baadhi ya vitu wanategemea kwenye kampuni za androidM naamini saii unaiita android calculator ila si ajabu ulitokea huko labda nikufahamishe kitu hao hao Apple wanatengenezewa display na Samsung ambao ni android unazoziita calculator bado Apple mnaendelea kutumia search engine ya android ambayo ni google[emoji2] na mpaka sasa Duniani haijatokea search engine ya kuifikia google Apple walitangaza kuachana na google lakini Hadi Leo ipo humo kwenye safari[emoji706]
Kwaiyo pixel Haina telephoto?Huawei ndoalikuwa mshindani wa iphone kwenye soko la marekani bila kufungiwa leo tungekuwa tunaongea mengine hapa p40 pro hi simu inaitwa the king of the smartphone zooms alafu unafananisha na kitu amacho hakija onesha maajabu ebu tafuta maana ya telephoto kwanza
@mzeemkavu embu kubali kwanza hapa mwenzio anasema android ni calculator lakini bado kuna baadhi ya vitu wanategemea kwenye kampuni za android
Kwaiyo pixel Haina telephoto?
Pixel kwenye kamera ni hatari
mtajua wenyewe
pixel ya 300k kwenye kamera inashindana na i phone 11 hutaki tunaleta ushahidi hapa
Hii haiingii kwa pixel pixel ni moto mwingine kwenye camera usiguse mkuu, hizo picha zinatumajivumajivu kwa pixel picha inakua clear sio kawaidaShekhe nimempa huyo homework nasubiria majibu asilimia kubwa kwasasa kila simu ina telephoto View attachment 2394474
View attachment 2394475
Hizi picha zimepigwa na mtanzania mwenzetu mitaa ya gerezani with huawei p40 pro 5G simu ya 2020 anaitwa james munisi nampana hongera sana kwakutupa picha inayo onesha kazi halisi ya telephoto
TatizO la pixel kadri unavyoitumia kioO kinatengeneza ukungu ambao hautoki yaan hapo tu ndio inaponichosha pixel, ni simu Kali ila ikianza kutengeneza ukungu
Hii haiingii kwa pixel pixel ni moto mwingine kwenye camera usiguse mkuu, hizo picha zinatumajivumajivu kwa pixel picha inakua clear sio kawaida
Hapa nilipo natumia pixel