Google pixel 5a 5g

Yeah.. ni kweli
iPhone users wengi wana matumizi madogo tu ya simu ila pesa huwa zinawawasha ndio maana huamua kununua iPhone. Utakuta mtu matumizi yake ni kujirekodi na kutuma video Snapchat na Tiktok, kuingia online, kupiga, kupokea na kucheza vigemu vya kitoto kama vya kukimbia au vile vya kukatakata machungwa na mananasi[emoji23][emoji23], halafu ananunua iPhone ya milioni mbili ilimradi tu afanye Show-off wakati huyo hata midrange za Xiaomi, Oppo au Samsung A-Series zinamfaa tena kwa bei chee na chenji inabaki. Lakini wanakimbilia iPhone kwa ajili ya Show off
Ukiwaeleza kuwa kuna simu nyingine kali kama iPhone au kuliko hata iPhone watabisha hatari na utaambulia maneno ya kejeli tu[emoji23][emoji23]
Ila kuna wengine wanafuatilia simu na wananunua iPhone kutokana na matumizi yao na kujikuta iPhone ndio zinawafaa zaidi.
 
We jamaa utakuwa na mtindio wa ubongo
 
aisee umenena Huawei ni machine
 
Achana na hii kitu, kama una bajeti ya kununua iphone 11 au 12 please pita kwanza uchukue pixel halafu ukirudi tena kwenye iphone niite mbwa nimekaa paleee
Je unaizungumziaje Google Pixel 6 Pro Ryzen
=
Code:
https://www.gsmarena.com/google_pixel_6_pro-10918.php
 
Iphone user tunaipenda hii brand kwakuwa haishukii dhamani kirahisi. pia ni rahisi kuiuza bila kuanza kuipigia promo. pia kwasisi wafanyabiashara tunatumia camera sana (picture,video ) hapa sasa kama video hana mpinzani. kiufupi hakuna simu inayofunika iphone kwenye ku record video hapa nasemea iphone . nyie wa xs max kushuka chini tulieni kwanza mfano mimi natumia 13 prom max. hakuna flagship yoyote ya 2021 inayoipita kwauwezo wakukaa na chaji hata ukiiweka mwaka 2022 inaweza kushika tena nafasi zajuu. kabisa kiufupi google pixel 7 pro kwa iphone 13 pro max sizani inaweza kuingia ukitoa kupiga picha tuu. naongea hivyo maana hizi simu nazishika kila siku kiufupi ukimukuta mtu ana simu ya milion 2 kwenda mbele. hata kama ni oppo huyo hajafata mkumbo bali ni chaguo lake sahihi huwezi kutupa million kwamkumbo lazima atakuwa kafanyia uchunguzii
 

Waizaji wa simu wa kibongo wanaitafuta faida mara 4 ifike mahali waweke mpangilio wa bei ili kuendana na hali za watanzania.
 

Tayar unawakataa wenzako wenye xsmax kisa simu yako inakaa sana na charge[emoji23][emoji23].

Point ya kwamba simu ya iphone haishuki thamani ndio point ya msingi na ya kueleweka kuliko nyingine ukizojaribu kuziainisha hapo.

Swala la videos na picha,sina uhakika umeishia kushika simu gani kama ulivyosema,ila unapozungumzia video iphone iphone ina videos bora ila sio picha.picha haifurukuti hata kidogo.pixel>samsun>>>>>>>>iphone.
 

Ndomaana nilishikiria kwenye video sana picha kwenye orodha bora ipo ila video ndo namba moja pia sijawakataa ila xs max kushuka chini hao ndowanaongoza kwa malalamiko utasika iphone yangu inachemka mara iphone sio simu mara simu inazima mara kwa mara
 
nasoma comments na Google pixel 4 haina shida vijana wangu 🥱[emoji18][emoji18]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…