Google Pixel 4 XL ni simu nzuri kwa Tanzania?

Cicero

JF-Expert Member
Jan 20, 2016
2,924
3,072
Wasalaam.

Nina mpango wa kununua simu na kwa sasa options ninazozifikiria ni
1. LG G8 Thinq
2. iPhone X / XS Max / 11
3. Google Pixel 4 XL

Naomba kwa mwenye ujuzi na hizi simu za Google anieleze kwa nini hazitumiki sana kwa hapa Tanzania. Zina kasoro yoyote? Ukute labda kuna functions haziwi supported ukiitumia huku.

Natanguliza shukran!
 
Wasalaam.

Nina mpango wa kununua simu na kwa sasa options ninazozifikiria ni
1. LG G8 Thinq
2. iPhone X / XS Max / 11
3. Google Pixel 4 XL

Naomba kwa mwenye ujuzi na hizi simu za Google anieleze kwa nini hazitumiki sana kwa hapa Tanzania. Zina kasoro yoyote? Ukute labda kuna functions haziwi supported ukiitumia huku.

Natanguliza shukran!
Overall pixel 4 siyo simu nzuri kama wenzake kwenye category moja ila ina vitu vyake ambavyo ni vizuri kama vile camera na stock android.

Na pia huu muda si mzuri sana kununua flagship phone unless unaipata kwa bei rahisi maana baada ya mwezi/miezi 2 zitatoka next generations flagship zenye sd865.
 
Go for Iphone 11 au subiria Iphone SE 2 ambayo inatoka mwezi wa 3 na bei yake itakuwa below 800k
Wasalaam.

Nina mpango wa kununua simu na kwa sasa options ninazozifikiria ni
1. LG G8 Thinq
2. iPhone X / XS Max / 11
3. Google Pixel 4 XL

Naomba kwa mwenye ujuzi na hizi simu za Google anieleze kwa nini hazitumiki sana kwa hapa Tanzania. Zina kasoro yoyote? Ukute labda kuna functions haziwi supported ukiitumia huku.

Natanguliza shukran!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
150K

dodoma

0629330383
IMG_20191211_160942_3.jpeg
IMG_20191211_162315_3.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahah.... Unakumbuka Iphone SE iliuzwa sh. ngapi? Halafu unasahau kwamba iphone anashusha bei za baadhi ya simu zake. Alianza kushusha kwenye XR then kashusha tena kwenye 11.

Mwakani Iphone atatoa variants 5. Hapo variant mbili lazima ziwe za bei ndogo.
Mnhh......mbona iwe cheap kiasi hicho hiyo SE 2.......lazima kuna kitu hakiko sawa hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
heehheeheh tunaziona adi iphone 7 znauzwa kilo 5 siongelei hizo X,11 kwakuwa najua huna(wenye nazo hawana shobo,porojo kama ww ).Sema ushamba tu unakusumbua unahis mpk iphone ni ya matajiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu masikini gani atanunua Pro Max kwa 3.5M?

Unanidharau bure mwenzio ninamiliki Samsung S10 plus na iPhone Xs Max piga hesabu maakini gani atamiliki hiyo
heehheeheh tunaziona adi iphone 7 znauzwa kilo 5 siongelei hizo X,11 kwakuwa najua huna(wenye nazo hawana shobo,porojo kama ww ).Sema ushamba tu unakusumbua unahis mpk iphone ni ya matajiri.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa jinsi unavyoshambulia wenye tecno wewe bado maskini tu. Tajiri hana time na kujarib kujisemea. Ongeza kipato mpk ifike wakat hunyoosh vidole kwa wengne ili wakutambue (uwe recognizable )

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahah.... Unakumbuka Iphone SE iliuzwa sh. ngapi? Halafu unasahau kwamba iphone anashusha bei za baadhi ya simu zake. Alianza kushusha kwenye XR then kashusha tena kwenye 11.

Mwakani Iphone atatoa variants 5. Hapo variant mbili lazima ziwe za bei ndogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu soko ndio linamlazimisha. siku hizi wenzie wanatoa highend na midrange kwa wakati mmoja ili kuteka soko la watu wote yeye hawezi kushikiria msimamo wake milele.

ndio maana siku hizi anatoa simu tatu tatu,na mwakani kuna tetesi zikawa nne tofauti.
 
Back
Top Bottom