Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 1,221
- 2,425
Kama unatumia simu ya android Kuna feature mpya inakuja upande wa phone ambapo Google wametambulisha kinaitwa "Urgent calling" kwenye Simu za Android.
Kupitia skrini ya kupiga simu utaweza kuona feature mpya ya Call Reason - Mark as Urgent inakupa nafasi ya kumjulisha / kumwambia Mtu unayempigia simu aweze kufahamu hiyo simu unayompigia ni muhimu sana na anatakiwa kupokea mara moja.
Wakati anapigiwa ataweza kuona ujumbe wa "It's Urgent ikiwa na emoji bila kusahau taarifa hiyo pia itakua na uwezo wa kuonekana mpaka kwenye Call history.
Mfumo utapatikana kwa watumiaji wa Android version 16 ambapo utaweza kumsaidia mpokeaji kuelewa kuwa simu aliyopigiwa ni muhimu na taarifa unayotaka kumpatia ni muhimu hivyo alipaswa kupokea simu mara moja.