RAMSO HOLELA
Member
- Sep 20, 2014
- 12
- 2
Hata na sie tupate ujuzi
App gan hiyo kaka ili na sisi tukaijueJamani mimi nina-app inapata viewers 85000-100,000 kwa siku lakini, napata dollar 10-15 kwa siku tatizo nini?
Haipo play Store ilikuwa burned inaitwa Online Tv app link yake hii hapa http://onlineapptv.one/Downloads/OnlineLink/Online TV.apkApp gan hiyo kaka ili na sisi tukaijue
mkuu traffic unaipatia wapi ase mana me ndo naanza mkuu ufafanuzi kidogoMi blog yangu inapata viewers 30000-280,000 kwa siku ambapo kwa AdSense napata mpaka 94 USD kwa siku.
Hivi propeller ni lazima uweke yale matangazo ya kufunika na kusumbua wasomaji au kuna option nyingine
Visitor wa tanzania cpc yake ni ndogo sana kulinganisha na traffic za developed counrty kama usa,canada na ukVisitors wangu ni watanzania
Ok sasa ni namna gani naweza kupata traffic kutoka nchi kama USA, CANADA, na UK, kwa sababu nimejaribu ku_boost page na website kupitia facebook kwa kuchagua audience wa USA lakini bado mabadiliko sioni , naomba uzoefu wako katika hiloVisitor wa tanzania cpc yake ni ndogo sana kulinganisha na traffic za developed counrty kama usa,canada na uk
Mimi sio mtaalamu sana wa kuongeza visitor bro nafahamu tu njia ya kushare kwenye socialmedia na kwa kulipia ads kama google ads,facebook ads na instagram adsOk sasa ni namna gani naweza kupata traffic kutoka nchi kama USA, CANADA, na UK, kwa sababu nimejaribu ku_boost page na website kupitia facebook kwa kuchagua audience wa USA lakini bado mabadiliko sioni , naomba uzoefu wako katika hilo
AhsanteMimi sio mtaalamu sana wa kuongeza visitor bro nafahamu tu njia ya kushare kwenye socialmedia na kwa kulipia ads kama google ads,facebook ads na instagram ads
ngoja wataalam waje hapa kutujuza zaidi
Habari,Ok sasa ni namna gani naweza kupata traffic kutoka nchi kama USA, CANADA, na UK, kwa sababu nimejaribu ku_boost page na website kupitia facebook kwa kuchagua audience wa USA lakini bado mabadiliko sioni , naomba uzoefu wako katika hilo
Adsense natumia tangu October 2013, kilamwezi tar 22 natoa mpaka USD 500 juzi niliwauliza kuhusu traffic ya fb wakasema haina shida ngoja nikutumie hizo tweets
Wakiamua kufuatilia, tutapiga hela sana. Kwa sababu kuna mifumo kama ya PayPal itabidi ianze kutumika rasmi. Kwa hiyo kutakuwepo na fursa nyingi kuliko ilivyo sasaHivi serikali inafatilia kodi hivi vitu wakuu
Wakiamua kufuatilia, tutapiga hela sana. Kwa sababu kuna mifumo kama ya PayPal itabidi ianze kutumika rasmi. Kwa hiyo kutakuwepo na fursa nyingi kuliko ilivyo sasa
Ndio sema ni indirect mfano unapopokea hela yako kwa njia ya webmoney,western union na wiretransfer au swift kuna makato yanafanyikaHivi serikali inafatilia kodi hivi vitu wakuu
Unaweza kupokea hela ya webmoney kwa mfumo wa mobile badala ya western union!!!Ndio sema ni indirect mfano unapopokea hela yako kwa njia ya webmoney,western union na wiretransfer au swift kuna makato yanafanyika
Hapana webmoney ni kama western union tuUnaweza kupokea hela ya webmoney kwa mfumo wa mobile badala ya western union!!!
Huyo jamaa ana audience ya kutosha mkuu... Yupo huko tangu 2013.. There's nothing zaidi ya kushea na quality kontentimkuu traffic unaipatia wapi ase mana me ndo naanza mkuu ufafanuzi kidogo
Mkuu inategemea na site ...kuna majamaa wana visitors wa TZ wanapiga rpm na cpc kubwa kama kawa 50+ $ pa deiVisitor wa tanzania cpc yake ni ndogo sana kulinganisha na traffic za developed counrty kama usa,canada na uk
Sawa sawa mkuu Mimi ndo kwanza naanza mkuu taratibuHuyo jamaa ana audience ya kutosha mkuu... Yupo huko tangu 2013.. There's nothing zaidi ya kushea na quality kontenti
Propeller haina shida ... Ila AdSense ndy kuna mashariti mengi... Post zaidi ya 50. Xiwe katika lugha ya kiingereza... Atleast 3months quality content... Custom domain nameWakuu naomba kufahamu ili upate account ya propeller ads/google AdSense blog yako inatakiwa iwe na post ngapi na iwe na viewer wangapi na iwe imekaa kwa muda gani??? Shukrani wakuuuuu