Google adsense na propeller ads kipi bora?

Google adsense na propeller ads kipi bora?

Kwangu Propeller ni bora..
kama naweza kulaza zaidi ya dollar 150$ per day na account haifungwi kwa nini kuhangaika na ma tapeli google adsens e..Google adsense unaweza kulaza dollar ngingi tatizo account inafungwa mda wowote haswa kama traffic zako zinatoka facebook..
Daah
 
Nampango wa kuwa na blog au website lakin natka nifaamu kwanza blog/site za aina au kuusu nini ndio zinakua na wasomaji wengi maana natka niwe naandika kwa lugha ngeni
 
Mi blog yangu inapata viewers 30000-280,000 kwa siku ambapo kwa AdSense napata mpaka 94 USD kwa siku.

Hivi propeller ni lazima uweke yale matangazo ya kufunika na kusumbua wasomaji au kuna option nyingine
Blog yako ni ya English ?
 
Kwangu Propeller ni bora..
kama naweza kulaza zaidi ya dollar 150$ per day na account haifungwi kwa nini kuhangaika na ma tapeli google adsens e..Google adsense unaweza kulaza dollar ngingi tatizo account inafungwa mda wowote haswa kama traffic zako zinatoka facebook..
Google sasahivi wamekuwa marafiki sana baada ya kugundua kuna ushindani, sikuhizi wanatoa mpaka majibu ukiwauliza, Juzi niliwauliza kuhusiana na tetesi kuwa wanawafungia watu wenye traffic toka fb wakasema hawafungi isipokuwa ukiwashawishi viewers wako wabofye matangazo hapo watalamba account
 
Google sasahivi wamekuwa marafiki sana baada ya kugundua kuna ushindani, sikuhizi wanatoa mpaka majibu ukiwauliza, Juzi niliwauliza kuhusiana na tetesi kuwa wanawafungia watu wenye traffic toka fb wakasema hawafungi isipokuwa ukiwashawishi viewers wako wabofye matangazo hapo watalamba account
Hapo sawa...maana sijaona condition inayozungumzia traffic kutoka fb
 
Ni wa google analytics mkuu, ile ya kwenye blogger statistics huwa siiamini.
Blog yangu ilianza kitambo kdg na ninapata viewers wengi toka fb, page yangu ina 66,000+ likes, Nina group lenye 45,000+ members, Twitter 2000+ Followers, Instagram 9000+ followers, hawa ndo watembeleaji ila huwa na boost kuongeza traffic kwa siku natumia 3-15 USD ku boost.
Mkuu weka blog yako hapa!
 
Back
Top Bottom