Nikupateje
JF-Expert Member
- Dec 22, 2009
- 1,334
- 989
*****************
Akiwa Bungeni dakika tatu zilizopita Goodluck Ole Medeye alikuwa anaomba mwongozo kwa Naibu Spika kuhusu kauli ya Godbles Lema kwamba yeye Medeye ni mbaguzi.
Medely akatumia nafasi hiyo kutangaza kwamba 2015 anagombea ubunge wa jimbo la Arusha alikozaliwa ili kupambana na Godbless Lema wa CHADEMA anayelishikilia jimbo hilo kwa sasa.
*****************
SOURCE: MAJADILIANO YA BUNGENI KUCHANGIA BAJETI YA PRIME MINISTER
DATE: TODAY,
TIME: THREE MINUTES AGO.
Akiwa Bungeni dakika tatu zilizopita Goodluck Ole Medeye alikuwa anaomba mwongozo kwa Naibu Spika kuhusu kauli ya Godbles Lema kwamba yeye Medeye ni mbaguzi.
Medely akatumia nafasi hiyo kutangaza kwamba 2015 anagombea ubunge wa jimbo la Arusha alikozaliwa ili kupambana na Godbless Lema wa CHADEMA anayelishikilia jimbo hilo kwa sasa.
*****************
SOURCE: MAJADILIANO YA BUNGENI KUCHANGIA BAJETI YA PRIME MINISTER
DATE: TODAY,
TIME: THREE MINUTES AGO.