kukumdogo
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 2,883
- 2,786
Tatizo wanga sana na asili ya mtanzania hakuna wachawi. Ndio maana tunasema wakigoma sio watanzania kwasababu ya uchawi waoWanasema Raia wa Kigoma ni Warundi lakini hawasemi Sokwe wa kigoma ni Wa-burundi.
---Hawasemi Wakurya wa Mara ni wakenya.
---Hawasemi Wajaluo wa Mara ni Wakenya.
---Hawasemi Wamasai wa Arusha ni Wakenya.
---Hawasemi Wanyakyusa wa Mbeya ni Wamalawi.
---Hawasemi Wahaya wa Kagera ni Waganda.
---Hawasemi Wamakonde na Wayao wa Mtwara ni Wa- msumbiji.
Ni kigoma tuu ndiyo Mkoa ambao Raia wake na na mkoa ambao unaendelea kudhulumiwa.
Ukisema umetoka Kigoma, hasa Idara ya Immigration utapata msukosuko kama kwamba wewe ni mkimbizi.
sikumbuki vizur kama nimepatia spelling. Maana ni siku nyingi na nilikuwa bado mtoto