handaz, kuna ile ya soja kalijaza mdomni afu salute juu
Muonekano wa muuzaji tu ni ishara tosha kuwa hicho akiuzacho si salama...
Hapa jmosi kwangu ni sherehe maana 2kj raha yake watu wengi hawjui hii kitu
Huyu ni chizi yupo garisa kenya
kweni ni nini...si mboga tu, vitamin C kwa wingi
Sh ngapi??
mwl mzima wewe?? vipi hivi wewe umeuona mtaala ama hujauona??
hongera naskia wewe ndo uliye teuliwa na kawambwa kwenda kuchakachua ili upatikane mbtia aachie kiti.
Mawili yanawezatokea:angalia tu heshima jaman, heshima ya baba isije kushuka plzzzz coz nasikia inaondoa heshima kabisa ati!