Goli la Uganda linakubalikaje katika zama za VAR?

Goli la Uganda linakubalikaje katika zama za VAR?

DELETED ACCOUNT

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
9,805
Reaction score
15,470
Hizi nchi za Afrika Mashariki ziache kulazimisha ubingwa kwa njia za panya.

Katika mechi ya Uganda vs South Africa, goli la kwanza la Uganda lilikuwa clear offside. Inakuwaje mshika kibendera hadi wasaidizi wa VAR waliruhusu lile goli? Katika zama hizi za VAR, kukubali goli kama lile ni kujidhalilisha tu.

Sitaki sana kuongelea zile penati mbili hasa ya pili ambayo ni wazi haikuwa penati.

Siwatetei South Africa ambao nilishasema wamekuja na timu mbovu na hawastahili kufika mbali katika mashindano na pia nasemaga siku zote napenda kuona timu mwenyeji haitoki mapema katika mashindano ili mashindano yasidode.
 
Hizi nchi za Afrika Mashariki ziache kulazimisha ubingwa kwa njia za panya.

Katika mechi ya Uganda vs South Africa, goli la kwanza la Uganda lilikuwa clear offside. Inakuwaje washika vibendera hadi wasaidizi wa VAR waliruhusu lile goli? Katika zama hizi za VAR, kukubali goli kama lile ni kujidhalilisha tu.

Sitaki sana kuongelea zile penati mbili hasa ya pili ambayo ni wazi haikuwa penati.

Siwatetei South Africa ambao nilishasema wamekuja na timu mbovu na hawastahili kufika mbali katika mashindano na pia nasemaga siku zote napenda kuona timu mwenyeji haitoki mapema katika mashindano ili mashindano yasidode.
Wazulu wa kuchovya mnalazimisha Amapiano huku mnacheza sindimba. Mbona huongelei goli la 1 la SA??
 
Uganda alipata kitu kinaitwa 'home advantage '...!

Kama maamuzi yangekuwa halali ilikuwa wang'oke
 
Uganda alipata kitu kinaitwa 'home advantage '...!

Kama maamuzi yangekuwa halali ilikuwa wang'oke
Hizo "home advantage" ni kwenye mechi za home and away siyo pale mashindano yote yanapofanyika eneo moja. Pia siyo katika scenario kama hizo za clear offsides zinazozalisha magoli.
 
Hizi nchi za Afrika Mashariki ziache kulazimisha ubingwa kwa njia za panya.

Katika mechi ya Uganda vs South Africa, goli la kwanza la Uganda lilikuwa clear offside. Inakuwaje washika vibendera hadi wasaidizi wa VAR waliruhusu lile goli? Katika zama hizi za VAR, kukubali goli kama lile ni kujidhalilisha tu.

Sitaki sana kuongelea zile penati mbili hasa ya pili ambayo ni wazi haikuwa penati.

Siwatetei South Africa ambao nilishasema wamekuja na timu mbovu na hawastahili kufika mbali katika mashindano na pia nasemaga siku zote napenda kuona timu mwenyeji haitoki mapema katika mashindano ili mashindano yasidode.
Acha bwana,zile ni penati very clear,wachezaji wa sauz walishika na goli la uganda halikuwa offside,hizi nchi za afrika mashariki hazina power kwa marefa,ila wanacheza kwa bidii na kujitoa sana
 
Acha bwana,zile ni penati very clear,wachezaji wa sauz walishika na goli la uganda halikuwa offside,hizi nchi za afrika mashariki hazina power kwa marefa,ila wanacheza kwa bidii na kujitoa sana
Penye ukweli usemwe. Angalia hata marudio, wali pause kuonyesha mfungaji alikuwa offside.

Penati ya mkono, mchezaji ameruka, mpira umemgonga karibu na bega akiwa amegeuka upande wa pili haangalii mpira.

Nakubali wanacheza kwa bidii na nimefurahi wao kupita kuliko hata angepita SA ila ushindi wa figisu hauna vibe.
 
Penye ukweli usemwe. Angalia hata marudio, wali pause kuonyesha mfungaji alikuwa offside.

Penati ya mkono, mchezaji ameruka, mpira umemgonga karibu na bega akiwa amegeuka upande wa pili haangalii mpira.

Nakubali wanacheza kwa bidii na nimefurahi wao kupita kuliko hata angepita SA ila ushindi wa figisu hauna vibe.
Ndugu una shida zako binafsi. Zile zote zilikua penati halali kabisa rudi kaangalie marudio au la hujui unachokisema.

Labda leo mechi ya Sudan na Senegal naona Sudan wamenyimwa penati halali na mwamuzi kaenda mpaka kwenye VAR lakini bado kaikataa
 
Ndugu una shida zako binafsi. Zile zote zilikua penati halali kabisa rudi kaangalie marudio au la hujui unachokisema.

Labda leo mechi ya Sudan na Senegal naona Sudan wamenyimwa penati halali na mwamuzi kaenda mpaka kwenye VAR lakini bado kaikataa
Sikutaka kuongelea sana penati maana ni ngumu kukubaliana. Unalizungumziaje lile goli katika zama hizi ambazo kuna macho 10 ya kumsaidia mwamuzi?
 
Penye ukweli usemwe. Angalia hata marudio, wali pause kuonyesha mfungaji alikuwa offside.

Penati ya mkono, mchezaji ameruka, mpira umemgonga karibu na bega akiwa amegeuka upande wa pili haangalii mpira.

Nakubali wanacheza kwa bidii na nimefurahi wao kupita kuliko hata angepita SA ila ushindi wa figisu hauna vibe.
angalia vizuri bro hizo zote ni clear penalt,unadhani uganda wana mamlaka gani kuwainfluence marefa?
 
Clear penalties na Jana Sudan kabaniwa sana penalty dhidi ya senagal
SA aondoke kikosi dhaifu hakiwezi tawala mashindano wamepata walichostahili
 
Penye ukweli usemwe. Angalia hata marudio, wali pause kuonyesha mfungaji alikuwa offside.

Penati ya mkono, mchezaji ameruka, mpira umemgonga karibu na bega akiwa amegeuka upande wa pili haangalii mpira.

Nakubali wanacheza kwa bidii na nimefurahi wao kupita kuliko hata angepita SA ila ushindi wa figisu hauna vibe.
Ndani ya 18 mikono weka nyuma
 
Penye ukweli usemwe. Angalia hata marudio, wali pause kuonyesha mfungaji alikuwa offside.

Penati ya mkono, mchezaji ameruka, mpira umemgonga karibu na bega akiwa amegeuka upande wa pili haangalii mpira.

Nakubali wanacheza kwa bidii na nimefurahi wao kupita kuliko hata angepita SA ila ushindi wa figisu hauna vibe.
Jaribu mambo mengine, uku kwenye soka umeshachelewa.
Una mapungufu katika uelewa wa soka katika maeneo mengi sana.
 
Pale ni kampuni za betting ndizo zinavuruga mpira!

Kampuni za betting kwenye match moja kuna option zaidi ya 30,
Na wachezaji kila mtu anacheza kwenye option anayoipenda, matokeo ya s.a na u.g 3-3 ukiachana na waliobet s.a anashinda wapo pia waliobet over/under, btts, d.chace, handcap n.k n.k na wote hao wqmekula kivyao vyao.
Kampuni za betting hazina uwezo wa kushawishi matokeo,
Popote utakapocheza hatq kama umekula, kampuni haijaliwa!
 
Back
Top Bottom