kumbe vunga yote sbb yuko hapa hapa?
staili gan inatumika?
Ziada: nahitaj out ya nguvu! Sikaonja zaidi ya jinsia yangu miez mi 3! Yaaaan Ukameeeeee[/QUOTE said:ka! we katoto ndio umeandika nini hapa!!??
Hahahaha, na huyu ndie Golden Mpoleeee. Simameni wote.Ziada: nahitaj out ya nguvu! Sikaonja zaidi ya jinsia yangu miez mi 3! Yaaaan Ukameeeeee
Hahahaaa wesoma achana na mambo ya ukame hayatakusaidia....Ziada: nahitaj out ya nguvu! Sikaonja zaidi ya jinsia yangu miez mi 3! Yaaaan Ukameeeeee
HahahaaaaaaaHahahaha, na huyu ndie Golden Mpoleeee. Simameni wote.
Wanawake pigeni vigelegele, wanaume pigeni makofi.
Nikisema karibu, mnajibu Mpoleeee. :high5::rockon::high5:
Hahahaaaaaaa
Mpoleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
mie nampenda sana mpole...
Watu wanamraruaga lakini she keeps her cool... Na akiamua kukupa moja tu linakutosha
Teh Ashadii mwenyewe sijamuona bado....Hapo bado familia yake under ADii haijaja yote.
Leo kutakuwa na pati nadhani.
Teh Ashadii mwenyewe sijamuona bado....
Mwambie aje na mikwaju maana dogo katoka shule na vitu eti anaviita "Ukameeeeee"hajapata taarifa tu
sasa hivi anatia timu.
Anti anaweza asije leo, kuna kitu muhimu anafanya.hajapata taarifa tu
sasa hivi anatia timu.
Iam watching you!
Anti anaweza asije leo, kuna kitu muhimu anafanya.
But naskia pafyum ya Mrs and Mr Judgement,
Sweetlady na Cantalisia, wote with their respective Mr.
Mi mwenyewe niko hapa, head of welcoming protocol.
Nikisoma mstari wa mwisho wa GM,Hivi na babu ODM anaruhusiwa kuja hapa?
Hakawii kumwita mjukuu wakagonganishe chiazi.
Unacheza na shule plus ukameeeeeewelcom back again GM mbona umekonda sana kuanzia post mpaka comment...