Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,987
- 24,226
Dada haka katoto kanafaa kuwa ka-wifi kako au unaonaje?
Utamuweza?? Kama unamuweza namkaribisha
nina valyuuu hapa nikpe? Nimerd kwa pasaka tu.
Cjambo hof na mashaka kwako.
Aisee nitumie hiyo valyuu, nahitaj sana sasa hivi baada ya kazi.
Kama shule ngumu, likizi hii injoi tu.
Umeonana na ADii?