Kuna nyumba ndogo ipo pale njia panda ya Kiparang'anda ina vyumba viwili tu na jiko. Kama inakufaa nipm. Dalali hatakiwi.Heshima kwenu, Ni yuleyule kijana wa miaka 25 niliyetahiriwa ukubwani. Leo nimekuja mbele yenu waungwana wenzangu munipe msaada. Sina mke ila nna mchumba ambae bado yupo chuoni, anamalizia master yake, atakamaliza august 2015, baada ya hapo ndio tutapanga ndoa, mchumba ana msimamo mgumu sana, hataki kujigijigi hadi ndoa ifungwe. Hivyo nimeamua kutafuta nyumba ndogo kwa muda hadi hapo mchumba wangu atakapo kuwa tayari. Nyumba ndogo anatakiwa awe na muonekano kama huu hapa chini: Asanteni sana
Hahahaaaa king kong lllKuna nyumba ndogo chumba kimoja master na sebule,jiko,kodi elfu 3 kwa mwezi kodi miezi 6,maji na umeme upo ipo jambiani karibu na njia panda ya dole.
Heshima kwenu,
Ni yuleyule kijana wa miaka 25 niliyetahiriwa ukubwani.
Leo nimekuja mbele yenu waungwana wenzangu munipe msaada.
Sina mke ila nna mchumba ambae bado yupo chuoni, anamalizia master yake, atakamaliza august 2015, baada ya hapo ndio tutapanga ndoa, mchumba ana msimamo mgumu sana, hataki kujigijigi hadi ndoa ifungwe.
Hivyo nimeamua kutafuta nyumba ndogo kwa muda hadi hapo mchumba wangu atakapo kuwa tayari.
Nyumba ndogo anatakiwa awe na muonekano kama huu hapa chini:
Asanteni sana
Heshima kwenu,
Ni yuleyule kijana wa miaka 25 niliyetahiriwa ukubwani.
Leo nimekuja mbele yenu waungwana wenzangu munipe msaada.
Sina mke ila nna mchumba ambae bado yupo chuoni, anamalizia master yake, atakamaliza august 2015, baada ya hapo ndio tutapanga ndoa, mchumba ana msimamo mgumu sana, hataki kujigijigi hadi ndoa ifungwe.
Hivyo nimeamua kutafuta nyumba ndogo kwa muda hadi hapo mchumba wangu atakapo kuwa tayari.
Nyumba ndogo anatakiwa awe na muonekano kama huu hapa chini:
Asanteni sana
halafu si ndio uliaga kuwa hatutakuona tena huku?? Mbona unarejea kimyakimya? Ww ni msukuma au?
^^
Huyu jamaa huwa hana msimamo katika maamuzi yake,, leo hili kesho lile, halafu huwa anafurahia tunapochangia mada zakee, Nyerere aliwahi kuita watu wa aina hii wana 'uchi wa akili'
By the way!
Mzima Mkuu Mgirik
^^