iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,438
- 14,916
Mbunge wa arusha mjini bwana Godbless lema,akichangia bungeni,amesema utalii umeporomoka kwa asilimia 48, hii ina maana katika watalii mia moja,watalii 52 wameikimbia nchi na hawaji tena Tanzania
,na Tanzanite imeporomoka kwa asilimia 40.
Ni majuzi tu waziri wa utalii alisema Tanzania haitaki watalii maskini,inataka matajiri kama akina Bill Gates,sasa serikali inaisoma namba kwa kukosa mapato
,na Tanzanite imeporomoka kwa asilimia 40.
Ni majuzi tu waziri wa utalii alisema Tanzania haitaki watalii maskini,inataka matajiri kama akina Bill Gates,sasa serikali inaisoma namba kwa kukosa mapato