G.Lema asante hata kwa kukumbuka kutoa neno la shukrani,
siyo kawaida kwa mwanasiasa kurudi na neno la 'ASANTE'
.........Asante zangu zikufikie kwa kujitoa mhanga kwa ajili ya ukombozi wa Tanzania.
Asanteni sana wana Arusha wote kwa moyo wa ujasiri mlio nao, siyo rahisi
kwa mtu wa kawaida kupigwa bomu na bado ukazidi kuwa jasiri kama wana
Arusha.
Nilikuwa namshangaa sana Arushaone aliposema anasimamia wapiga kura
kweli nilimwambia 'take care yourself'. Lakini Mungu aliwapigania na zoezi
likaisha tena kwa mafanikio makubwa.
Natamani kuona Tanzania ikiwa chini ya chama cha CHADEMA, natamani kuiona tena
Tanzania inayoongozwa kwa haki.
hana busara hata kidogo huyooooo!unless uniambie ameandikiwa hii speech!Maneno mazito na ya busara.Pia Spirit ya Neema Lema ni ya kuigwa na wenzi wa wanasiasa wapenda mabadiliko.
walitishia watu sana juzi wale binadamu(natamani kuwatukana)nilipofika kwenye kituo cha kura kulikuwa na PT za kutosha na zimesheheni hao binadamu, mmoja aliruka toka juu ya hiyo PT hadi karibu yangu eti ananiuliza unaenda wapi? kadi yako ya kupiga kura iko wapi? nikamuuliza napiga hapa hapa uliponisimamia au napiga eneo husika? akaniambia mbona jeuri sana wewe, nikamuangaliaa nikaliacha hapo, narudi kwenye gari wameniziba kutoka, nikaingia kwenye gari nikakaa mpaka walipojisikia kunipa njia, mxsiii na kama sio yale matisho yao wangehesabu kura mbili mbili kila vituo, ovyooo zao.
Maneno mazito na ya busara.Pia Spirit ya Neema Lema ni ya kuigwa na wenzi wa wanasiasa wapenda mabadiliko.
Vipi Lwakatare anaendeleaje kule third class?Maneno mazito na ya busara.Pia Spirit ya Neema Lema ni ya kuigwa na wenzi wa wanasiasa wapenda mabadiliko.
Vipi Lwakatare anaendeleaje kule third class?